cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka nimuulize.Hicho kwenye runinga ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka nimuulize.Hicho kwenye runinga ni nini?
Aririiiiiiiii meza ya jiko km yanguuuu, had rangi.Baada ya uzi huu kunihamasisha hatimae na mimi nimehama home na hapa nimeandaa kitu cha chapati mayaiView attachment 2436940View attachment 2436939
Ni 170k.Laki 2
Ila Dar inaweza kuwa chini ya hapo
AnimationsHicho kwenye runinga ni nini?
Mimi nilichukua 160kHongera aisee.
Hiyo meza ya gesi imekaa unyama sana, bei gani?
JamaniAririiiiiiiii meza ya jiko km yanguuuu, had rangi.
4 real. Rangi tamuuu hiyooo.![]()
Weee😱😱Aririiiiiiiii meza ya jiko km yanguuuu, had rangi.
[emoji833] 4 real. Rangi tamuuu hiyooo.
KheeeeeeeNina mzigo wa kutosha hapa dah sijui ndo uoga wa maisha😃😀View attachment 2436995
Safi uturi wa maana mwanamke kunukia bwanaGhetto kitengo cha dressing table View attachment 2436996
Sasa nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani
Weee[emoji33][emoji33]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah.Nina mzigo wa kutosha hapa dah sijui ndo uoga wa maisha[emoji2][emoji3]View attachment 2436995
Kila siku harufu mpyaa dyadyaaa??Ghetto kitengo cha dressing table View attachment 2436996
Hahahaha unahisi tutapigwa lockdown ya kushtukiza nn mkuu...sema i like ur kitchen kila kitu muhimu kipoNina mzigo wa kutosha hapa dah sijui ndo uoga wa maisha[emoji2][emoji3]View attachment 2436995
Mi mwenyewe nilienjoy Sana maisha ya saut nakumbuka Hadi hostel niliyokuwa nakaa inaitwa Paradise[emoji23][emoji23][emoji23]Sema unatoka mbeya na ulikua unasoma SAUT na ulikua unaishi Kati ya Nyamalango,sweya,masha au nganza
Katika vyuo wanafunzi wana enjoy maisha basi ni wanafunzi wa SAUT mbali na tabu za masomo mengi chuoni ila nje ya chuo maisha ni matam SAUT aisee na yanakuruhusu kujijenga kimaisha
Unapenda kupika eeeh, ni vizuri.Nina mzigo wa kutosha hapa dah sijui ndo uoga wa maisha[emoji2][emoji3]View attachment 2436995
Hongera[emoji3059]Ghetto kitengo cha dressing table View attachment 2436996
Apo uhifadhi vizuri maana ukiuweka ovyo utagandiana na kutengeneza vijidudu ambapo mpaka upike tena inabid uweke kwenye jua. Nakumbuka bimkubwa alikuwa anatia kwenye ndoo na anaweka kipande cha mkaa.Nina mzigo wa kutosha hapa dah sijui ndo uoga wa maisha[emoji2][emoji3]View attachment 2436995
Pamoja mkuuApo uhifadhi vizuri maana ukiuweka ovyo utagandiana na kutengeneza vijidudu ambapo mpaka upike tena inabid uweke kwenye jua. Nakumbuka bimkubwa alikuwa anatia kwenye ndoo na anaweka kipande cha mkaa.
Btw hongera sana ghetto limecool mazaga yote ya maana unayo including Animation movies[emoji16]