[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna dkk 4 tyuuh nimepita kutokaaa, sikutaka mambo yawe mengi hapo nyuma. Wamama nawajua vyedi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo ni kukaangwa hatariiii
Hapo hamna keleleNilipopanga wapangaji ni 8 kila mtu na nyumba yake, kila mtu anarudi usiku
Hakuna anayeongea na mtu
Ngoja nikirud home.Em weka kapichaaaa
😂😂😂 mtu unaweza jikwaa kwa kuhisi unatizamwa kumbe wala[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna dkk 4 tyuuh nimepita kutokaaa, sikutaka mambo yawe mengi hapo nyuma. Wamama nawajua vyedi.
Ooooh hapo sasa si mpo watu na business zenu, tunsemea wale wa vyumba na choo ndan, au chumba tupu choo cha kushare watu wote, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilipopanga wapangaji ni 8 kila mtu na nyumba yake, kila mtu anarudi usiku
Hakuna anayeongea na mtu
Wewe job less umeenda wapi asubuhi yote hii 😂Ngoja nikirud home.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuh. Wee wamama wamejipangaa koridon utadhan kuna kikao cha marejesho ya vicoba[emoji23][emoji23][emoji23] mtu unaweza jikwaa kwa kuhisi unatizamwa kumbe wala
Jmos kuzururaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe job less umeenda wapi asubuhi yote hii [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu yupo huko Dom, wala hana wasi wasiBaba mwenye nyumba kodi inamfata m pesa [emoji23]
Mkuu Kwani wewe unataka kupanga maeneo gani?Nimekua nikiufuatilia huu uzi tangu nipo shule mpaka nimeajiliwa kwenye kampuni fulani hapa jijini Dar na ninaishi nyumbani lakini ni muda sasa wa kwenda kupanga ila changamoto kila chumba ninachopelekwa na madalali hakina sifa ninazozihitaji mimi yaani sijui wenzangu mnatumia mbinu gani ya kupata magheto makali
Mvivu wa kupika pro[emoji23]tusiopika
Vifriji havina hata nyanya View attachment 2441486
Kama upo Dar, ulichukulia wapi mkuuMimi nilichukua 160k
Yan ni pro max kabisa 🤣Mvivu wa kupika pro[emoji23]
Dah nikaona kama harakati za kutafuta mtaji nifungue biashara ili Nikae geto kama inakwama basi nikasema nisubiri sensa. Ikaja nikaaply vzr dah siku ya interview nikafika. Matokeo holla.Inaendelea sehemu ya pili.........
KUELEKEA KUISHI GETO MTAANI
Nilirudi home nikiwa na vyombo vyote kama nilivosema ila hamu ya kuhama home ilikuwa iko high sana. Nikicheki kamataji kangu mkononi nina kama kani hivi mfukoni.
Nilikuwa na wazo la biashara kwamba nikipata mtaji nifungue biashara ili kama ikatokea ikawa vzr basi nitafute getho. Biashara ingeweza kulipa bills.
Wazo la business ni kama laki sita mkononi nina laki. Nikamuomba mzee anipe eneo nichome mkaa. Wakuu nilichoma mkaa kwa tabu hivohvo ilikuwa ni mwaka jana nikapata gunia 20. Nikapata laki 2 na tisini hivi.
Nikaiweka ndani.
Hee kijijini si nilikuwa na shamba nililima kiangazi na hapo ni Januari ndio nimetoa mkaa. Bi mkubwa akanambia nitume ya kupalilia na mbolea kama 50 elfu hv jumla.
Hela ikaanza kupungua na Ambition pia. Si nikaanza kutumia nilivokuwa sina akili. Ikabaki kama laki hivi. Nikaamua ninunue kifaa kimoja cha gharama ambacho kiko ndani ya lile wazo la biashara then nitafute mishe nifanye niongezee mtaji maana eneo lingine la mkaa likawa halipo.
So ikaja wazo kwamba kuna kazi za. Anuani za makazi kwamba nikipata basi hela yote nasukumia huko. Kwani hiyo kazi ya anuani za makazi nilipata nafasi. NIKAKOSA KUCHAGULIWA. !!
Hiyo ni mwezi wq tatu mwaka huu
Em tuone hiyo dream bed 🥰Dah nikaona kama harakati za kutafuta mtaji nifungue biashara ili Nikae geto kama inakwama basi nikasema nisubiri sensa. Ikaja nikaaply vzr dah siku ya interview nikafika. Matokeo holla.
Wakuu nikalala ndani siku nzima stress.
Kuna mwana jirani akanipa pole akanipanga ya kuwa kuna eneo lao la familia ila yeye kapewa kipande anataka apande miti so kuna miti pori so nifanye kuchoma mkaa. Fresh nikapiga gunia saba hivi.
Hiyo ni mwezi wa nane mwishoni. Ikanibidi pia nirudi kijijini kuvuna mahindi yangu. Nikiwa kule bimkubwa anaona kijana jobless ikawa jau. Yaani watoto wote mimi sina issue. Unaweza fanya kazi siku tano then jmos ukaamua kupumzika ila siku hiyo utawakiwa kama mbwa.
Inauma aisee. Kuna bro angu akanitumia siku tangazo la kazi mahali fulani hvi. Nikaaply nikaitwa interview.
Baada aya week mbili niko Bush ninapiga kibarua cha kupiga ngano napigiwa simu na Hr ya kuwa nimepita. Imagine kati ya watu 400 nimepita. Tuliopita ni 70 na kitu.
Basi nikaripoti sign mkataba. Hivi jana ndio nimepanga geto la vyumba viwili na nimetengeneza mwenyewe my dream bed.
Nimefupisha stry kuonesha hamu ya vijana wanaomaliza vyuo na wengine pia wakiwa na hamu ya kujitegemea. Tuschague kazi ilimradi haikuvui utu. Displine mazee inahajika sana mpk tutakapopata makazi yetu ya kudumu.
Long live jf.
Jana ndio nimeingia rasmi kwenye getho langu rasmi.
Getho bila shughuli ya kuingiza pesa jau mazee. Bora ubaki kwenu usiwe ombaomba kama huna moyo wa kufanya kazi ya kuingiza kipato na kulipa bills. Nimeingia leo getho madirisha wazi. Mwenye nyumba ndio anafunga shata.Dah nikaona kama harakati za kutafuta mtaji nifungue biashara ili Nikae geto kama inakwama basi nikasema nisubiri sensa. Ikaja nikaaply vzr dah siku ya interview nikafika. Matokeo holla.
Wakuu nikalala ndani siku nzima stress.
Kuna mwana jirani akanipa pole akanipanga ya kuwa kuna eneo lao la familia ila yeye kapewa kipande anataka apande miti so kuna miti pori so nifanye kuchoma mkaa. Fresh nikapiga gunia saba hivi.
Hiyo ni mwezi wa nane mwishoni. Ikanibidi pia nirudi kijijini kuvuna mahindi yangu. Nikiwa kule bimkubwa anaona kijana jobless ikawa jau. Yaani watoto wote mimi sina issue. Unaweza fanya kazi siku tano then jmos ukaamua kupumzika ila siku hiyo utawakiwa kama mbwa.
Inauma aisee. Kuna bro angu akanitumia siku tangazo la kazi mahali fulani hvi. Nikaaply nikaitwa interview.
Baada aya week mbili niko Bush ninapiga kibarua cha kupiga ngano napigiwa simu na Hr ya kuwa nimepita. Imagine kati ya watu 400 nimepita. Tuliopita ni 70 na kitu.
Basi nikaripoti sign mkataba. Hivi jana ndio nimepanga geto la vyumba viwili na nimetengeneza mwenyewe my dream bed.
Nimefupisha stry kuonesha hamu ya vijana wanaomaliza vyuo na wengine pia wakiwa na hamu ya kujitegemea. Tuschague kazi ilimradi haikuvui utu. Displine mazee inahajika sana mpk tutakapopata makazi yetu ya kudumu.
Long live jf.
Jana ndio nimeingia rasmi kwenye getho langu rasmi.
Ahh nina sis wangu wa mujiniiiBed langu. View attachment 2441806