Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna dkk 4 tyuuh nimepita kutokaaa, sikutaka mambo yawe mengi hapo nyuma. Wamama nawajua vyedi.
😂😂😂 mtu unaweza jikwaa kwa kuhisi unatizamwa kumbe wala
 
Nilipopanga wapangaji ni 8 kila mtu na nyumba yake, kila mtu anarudi usiku
Hakuna anayeongea na mtu
Ooooh hapo sasa si mpo watu na business zenu, tunsemea wale wa vyumba na choo ndan, au chumba tupu choo cha kushare watu wote, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekua nikiufuatilia huu uzi tangu nipo shule mpaka nimeajiliwa kwenye kampuni fulani hapa jijini Dar na ninaishi nyumbani lakini ni muda sasa wa kwenda kupanga ila changamoto kila chumba ninachopelekwa na madalali hakina sifa ninazozihitaji mimi yaani sijui wenzangu mnatumia mbinu gani ya kupata magheto makali
Mkuu Kwani wewe unataka kupanga maeneo gani?

Madalali wanazingua sana, ata kama ana vyumba vizuri anaanza Kwanza kukuonesha vibaya ili ye apate tu ile hela ya kukutembeza

Njia nzuri ya kuanza kupanga Kwa mara ya Kwanza ni kutafuta ghetto Kwa kuulizia washkaji wanaokaa mazingira unayotaka wewe kuishi

Hutopata Kwa haraka lakini hakuna ubaya Kwa sababu home hujafukuzwa kwahiyo inakuwa rahisi watu kukuvumilia, ila ukajifanya una haraka utawapa sana hela madalali na kuishia kupanga nyumba ambayo unakuwa huna ata hamu ya kurudi nyumbani

Ukishapata ghetto lako la Kwanza hapo ndio utapanga aina ya ghetto la pili litakavyokuwa, ghetto la kwanza unaweza kukaa ata miez 3 tu kisha ukabadirishia Gia angani

Wakati me naanza kukaa ghetto sikuwa na mambo mengi kulingana na uchumi wangu hivo nikaangukia mitaa ya kigogo, Kwa sababu vyumba bei rahisi

ila baada ya miez 4 nikahamia Kumara suka, huko ndio sikuhangaika kabisa kutafuta nyumba kwakuwa mishe niliyokuwa napiga nilikuwa napiga kila siku kwahiyo ata muda wa kuonana na madalali nikawa sina

Nikaingia Instagram na kutafuta madalali wa kimara/ubungo/mbezi nikakuta wanapost nyumba na sifa zake, kwahiyo me nikacheki weee hadi nikaridhika, siku moja nikaomba hudhuru kwenda kucheki mjengo na kulipia moja Kwa moja maana kila kitu ushaona kwenye picha

Kama unataka nyumba yenye fence utachagua mwenyewe, tile's, gypsum, Aluminium window,mpya au used,self contained,kushea maji au umeme....! So unachagua mwenyewe unatakaje

Kwahiyo kama utakuwa uko Dar na unataka maeneo ya ubungo/kimara/mbezi/tegeta/bunju nk, jaribu kutembelea account za madalali mjini Instagram inaokoa muda lakini pia ina save gharama ambazo sio za ulazima
 
Inaendelea sehemu ya pili.........
KUELEKEA KUISHI GETO MTAANI

Nilirudi home nikiwa na vyombo vyote kama nilivosema ila hamu ya kuhama home ilikuwa iko high sana. Nikicheki kamataji kangu mkononi nina kama kani hivi mfukoni.

Nilikuwa na wazo la biashara kwamba nikipata mtaji nifungue biashara ili kama ikatokea ikawa vzr basi nitafute getho. Biashara ingeweza kulipa bills.

Wazo la business ni kama laki sita mkononi nina laki. Nikamuomba mzee anipe eneo nichome mkaa. Wakuu nilichoma mkaa kwa tabu hivohvo ilikuwa ni mwaka jana nikapata gunia 20. Nikapata laki 2 na tisini hivi.
Nikaiweka ndani.
Hee kijijini si nilikuwa na shamba nililima kiangazi na hapo ni Januari ndio nimetoa mkaa. Bi mkubwa akanambia nitume ya kupalilia na mbolea kama 50 elfu hv jumla.
Hela ikaanza kupungua na Ambition pia. Si nikaanza kutumia nilivokuwa sina akili. Ikabaki kama laki hivi. Nikaamua ninunue kifaa kimoja cha gharama ambacho kiko ndani ya lile wazo la biashara then nitafute mishe nifanye niongezee mtaji maana eneo lingine la mkaa likawa halipo.


So ikaja wazo kwamba kuna kazi za. Anuani za makazi kwamba nikipata basi hela yote nasukumia huko. Kwani hiyo kazi ya anuani za makazi nilipata nafasi. NIKAKOSA KUCHAGULIWA. !!

Hiyo ni mwezi wq tatu mwaka huu
Dah nikaona kama harakati za kutafuta mtaji nifungue biashara ili Nikae geto kama inakwama basi nikasema nisubiri sensa. Ikaja nikaaply vzr dah siku ya interview nikafika. Matokeo holla.
Wakuu nikalala ndani siku nzima stress.
Kuna mwana jirani akanipa pole akanipanga ya kuwa kuna eneo lao la familia ila yeye kapewa kipande anataka apande miti so kuna miti pori so nifanye kuchoma mkaa. Fresh nikapiga gunia saba hivi.
Hiyo ni mwezi wa nane mwishoni. Ikanibidi pia nirudi kijijini kuvuna mahindi yangu. Nikiwa kule bimkubwa anaona kijana jobless ikawa jau. Yaani watoto wote mimi sina issue. Unaweza fanya kazi siku tano then jmos ukaamua kupumzika ila siku hiyo utawakiwa kama mbwa.

Inauma aisee. Kuna bro angu akanitumia siku tangazo la kazi mahali fulani hvi. Nikaaply nikaitwa interview.
Baada aya week mbili niko Bush ninapiga kibarua cha kupiga ngano napigiwa simu na Hr ya kuwa nimepita. Imagine kati ya watu 400 nimepita. Tuliopita ni 70 na kitu.
Basi nikaripoti sign mkataba. Hivi jana ndio nimepanga geto la vyumba viwili na nimetengeneza mwenyewe my dream bed.

Nimefupisha stry kuonesha hamu ya vijana wanaomaliza vyuo na wengine pia wakiwa na hamu ya kujitegemea. Tuschague kazi ilimradi haikuvui utu. Displine mazee inahajika sana mpk tutakapopata makazi yetu ya kudumu.
Long live jf.

Jana ndio nimeingia rasmi kwenye getho langu rasmi.
 
Dah nikaona kama harakati za kutafuta mtaji nifungue biashara ili Nikae geto kama inakwama basi nikasema nisubiri sensa. Ikaja nikaaply vzr dah siku ya interview nikafika. Matokeo holla.
Wakuu nikalala ndani siku nzima stress.
Kuna mwana jirani akanipa pole akanipanga ya kuwa kuna eneo lao la familia ila yeye kapewa kipande anataka apande miti so kuna miti pori so nifanye kuchoma mkaa. Fresh nikapiga gunia saba hivi.
Hiyo ni mwezi wa nane mwishoni. Ikanibidi pia nirudi kijijini kuvuna mahindi yangu. Nikiwa kule bimkubwa anaona kijana jobless ikawa jau. Yaani watoto wote mimi sina issue. Unaweza fanya kazi siku tano then jmos ukaamua kupumzika ila siku hiyo utawakiwa kama mbwa.

Inauma aisee. Kuna bro angu akanitumia siku tangazo la kazi mahali fulani hvi. Nikaaply nikaitwa interview.
Baada aya week mbili niko Bush ninapiga kibarua cha kupiga ngano napigiwa simu na Hr ya kuwa nimepita. Imagine kati ya watu 400 nimepita. Tuliopita ni 70 na kitu.
Basi nikaripoti sign mkataba. Hivi jana ndio nimepanga geto la vyumba viwili na nimetengeneza mwenyewe my dream bed.

Nimefupisha stry kuonesha hamu ya vijana wanaomaliza vyuo na wengine pia wakiwa na hamu ya kujitegemea. Tuschague kazi ilimradi haikuvui utu. Displine mazee inahajika sana mpk tutakapopata makazi yetu ya kudumu.
Long live jf.

Jana ndio nimeingia rasmi kwenye getho langu rasmi.
Em tuone hiyo dream bed 🥰
 
Dah nikaona kama harakati za kutafuta mtaji nifungue biashara ili Nikae geto kama inakwama basi nikasema nisubiri sensa. Ikaja nikaaply vzr dah siku ya interview nikafika. Matokeo holla.
Wakuu nikalala ndani siku nzima stress.
Kuna mwana jirani akanipa pole akanipanga ya kuwa kuna eneo lao la familia ila yeye kapewa kipande anataka apande miti so kuna miti pori so nifanye kuchoma mkaa. Fresh nikapiga gunia saba hivi.
Hiyo ni mwezi wa nane mwishoni. Ikanibidi pia nirudi kijijini kuvuna mahindi yangu. Nikiwa kule bimkubwa anaona kijana jobless ikawa jau. Yaani watoto wote mimi sina issue. Unaweza fanya kazi siku tano then jmos ukaamua kupumzika ila siku hiyo utawakiwa kama mbwa.

Inauma aisee. Kuna bro angu akanitumia siku tangazo la kazi mahali fulani hvi. Nikaaply nikaitwa interview.
Baada aya week mbili niko Bush ninapiga kibarua cha kupiga ngano napigiwa simu na Hr ya kuwa nimepita. Imagine kati ya watu 400 nimepita. Tuliopita ni 70 na kitu.
Basi nikaripoti sign mkataba. Hivi jana ndio nimepanga geto la vyumba viwili na nimetengeneza mwenyewe my dream bed.

Nimefupisha stry kuonesha hamu ya vijana wanaomaliza vyuo na wengine pia wakiwa na hamu ya kujitegemea. Tuschague kazi ilimradi haikuvui utu. Displine mazee inahajika sana mpk tutakapopata makazi yetu ya kudumu.
Long live jf.

Jana ndio nimeingia rasmi kwenye getho langu rasmi.
Getho bila shughuli ya kuingiza pesa jau mazee. Bora ubaki kwenu usiwe ombaomba kama huna moyo wa kufanya kazi ya kuingiza kipato na kulipa bills. Nimeingia leo getho madirisha wazi. Mwenye nyumba ndio anafunga shata.


Nakupenda jamii forums. Walec una akili sana
Afu pia cocastic sitaki uniponde sijapanga room kali ndio naanza life.
 
Bed langu.
IMG_20221209_185330.jpg
 

Attachments

  • IMG-20221124-WA0015.jpg
    IMG-20221124-WA0015.jpg
    66.7 KB · Views: 39
Back
Top Bottom