[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo penyewee.Hata ikiwa hivyo kama huna maneno mengi mbona unaishi tu. Tatizo la nyumba za hivyo kunakuwa na uswahili.
Sipendi sehemu ambazo watu hufungulia subwoofers Kama wanashindana.
Hapa nilipo unaweza hisi hakuna binadamu
Bei zake zaweza kuwaje. Samahani maana sina account ig. Waweza nisaidia?Ig
Kodtec wanazo
Ndio.Wanabaka kirahisi hivyoooo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahNdio.
Hapo umenena yaan najua kupika ugali tu. Hivyo vingine aiseee ni jau tupu. Home nilikua na dada 3. Nilikua nakula tu na kuchota maji, kupika sikuwahi.Wasiopenda pika wengi wao hawajui pika
Unaweza kumla kizembe usipolua makini.Sikuwahi kukaa ghetto maana niliacha udom nikaenda college afya na chakula kilikuwa hapo hapo na vyumba vilikuwa apoapo sikukaa MDA marefu nilipata kazi Duuuuh nilitafutana nilikuwa na demu lakin tuliachana ndan ya week Tu baada ya kupata kazi Kwa ajili ya ubize wa kazi, mahali nilipopata kazi mwanamke wa kuowa sioni. Saiv natafuta mfanya kazi wa ndani mdogomdogo wa kike Ila nitamwambia nimeowa mke yupo mkoa mwingine kikazi Ila atakuja MDA wowote
Jifunze pika, vyakula vya mahotel, migahawa mingi viko kibiashara kuliko kiafyaHapo umenena yaan najua kupika ugali tu. Hivyo vingine aiseee ni jau tupu. Home nilikua na dada 3. Nilikua nakula tu na kuchota maji, kupika sikuwahi.
Nina mwaka wa 2 cjawahi kupika chochote ghetto, hata chai tu. Ni mwendo wa kubadilisha migahawa tu.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hama.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo penyewee.
Nishajipanga kuhakikisha simli sababu najua nikimla Tu ntakuwa nishabadili Hali yote ya hewa
Daaah hii ni kweli, yaan vyote ninavyo ghetto ila kupika ndo jau. Ila soon naanza kupikaJifunze pika, vyakula vya mahotel, migahawa mingi viko kibiashara kuliko kiafya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hapa kwetu hakuna huo mtindo, tupo wastaarabu na tulio elimika.Hama.
Kuna mtaa huwa napita kuna vyumba kama 30 kila mtu anapiga wimbo wake
Hapo kila section na nguo zake
Ndio mkuuHapo kila section na nguo zake
T shirts sehemu yake
Shirts sehemu yake
Suruali casual sehemu yake
Suruali nyingine(jeans,tracks)sehemu yake
Kaptula sehemu yake
Muda wako mzuri upo njiani....stay focused don't give upJobless kama mimi huu uzi unabaki kuwa dream.
We ni carpenter?Ndio mkuu
[emoji23] mkuu naona umeamua kuwakanya vijana katkat ya uziKUISHI GETO. (A) CHUONI.
Wasalam, awali niliahidi kuwaletea stori yangu kuhusu kuhamia getho.
Nikiwa chuo naanza wakati huo nikajipanga ya kuwa nikihitimu tu basi nikajitegemee. Huu uzi niliujua nikiwa second year.
Hivyo nikaanza nunua asset za ndani yaani vyombo ambavyo nitasafirisha hadi home nilikotaka kuanzisha makazi pale nikihitimu. So nilikuwa makini sana kuvitunza ili vifike home vikiwa bull bull.
Home na mkoa nilikokuwa chuo ni km kama 1000 hivi.
Nikawa nikipata boom nanunua vyombo. Kitanda sikununua kwani kule kwetu mbao na vitanda ni bei cheee. Mwaka wa kwanza nilinunua tu godoro kitanda nilikikuta. Mwaka wa tatu nilipohamia palikuwa na kila kitu. Godoro langu nililonunua kwa mama muhindi mitaa ya uhuru pale mwanza super banco kwa Sh laki moja na elfu tano nikaliweka stoo jipya jipya tu.
Nikajifunza heshima ya pesa na jinsi ya kujiheshimu mimi kama mimi.
Maisha ya geto kichuo chuo sio pwa. Bora ukose bundle lakini uhakika wa msosi uwepo.
Nilikuwa nikitoka likizo kwenda chuo basi nabeba nafaka yoyote ile kufanikisha mamisosi.
Afu nilikuwa na hii tabia. Mtaani si hakutabiriki nikaamua kila likizo ile ya kuingia mwaka mwingine nikirudi home basi asilimia 80 ya nguo nilikuwa naacha nguo zangu home. Nikirudi chuo nitanunua nyingine. Lengo lilikuwa nikirud mtaani nisiwe na stress za mavazi kwa mwanzoni. Nibaki kuwaza yale mahitaji mengine muhimu mawili ya binadamu yaani chakula (food), getho(shelter). Clothes yaani (milozi) hapa nikawa nimesolve. Nawafundisha nini akati mwalimu wako wa historia alikufundisha kuhusu mahitaji muhimu ya binadamu. Ahhh mikono inauma kutype ila haina noma.
Yaani bajeti ya msosi na matumizi mengine nilikuwa napiga kabla ya kusign boom na nikisha sign hiyo bajeti inapigwa review kali kufanyiwa uhakiki. Kila nilichonunua sikuwa najutia. Pesa ya boom tamu na me utamu ulizidi kwani nilinunulia kila kitu stahiki. .
Kiukweli nilipata shida miezi miwili ya first year ila baada ya hapo sijawahi kukosa uhakika wa kula.
Basi baada ya kuua UE na kumaliza mazaga ya research kwa mwaka wa mwisho basi nikawa nipangilie naondokaje.
Uzuri me sikuwaga na aibu nikawaambia wanahostel oya anayetaka kuniachia vijiko au kitu chochote kizuri asitupe. Basi nilipewa mivyombo hatari jumlisha na vyangu.
Nikanunua shangazi kaja panga mavyombo vizuri sikuacha kitu hadi upawa na miiko.
Idea ya kutouza chchte nilipewa na bro angu hv kwao ni wa kishua hatari. Unajua wakishua basi alikuwa ndio yule. Ila jamaa kila kitu alirudi nacho kwao. Yeye alipakiza mizigo kwenye gari tupu la mizigo linalorudi kwao. Huyu jamaa alini inspire sana. Mzee wake alimnunulia mazaga ya geto ya milioni moja na nusu lakini hakuuza hata kimoja. Alirudisha kwao. Alilipia usafiri elfu 80 tu toka huko hadi nyanda za juu kusini.
Nb: Kwa mwanachuo yeyote anayesoma hapa namshauri usiuze hiyo gesi hiyo bakuli hiyo meza na hako kakitanda. Mtaani ni kwingine kabisa. Ni aheri uingie mtaani uanze kuwa na mawazo ya ufanye mishe gani au uhamie wapi. Sio unawaza kitanda godoro utapata wapi. Unaanza kuwaza nitaanzaje hata ndoo sina. Maksai mkubwa wewe ukute hata gesi yaki ya oryx ya kilo hamsini ulimgawia kimanzi chako cha first year. Acheni kuigana huko chuo pumbavu zenu. Yaani fika mtaani ili hata ikatokea umepata elfu 30 unahama hapo kwa baba ako. Hama hapo kwenu wazazi wakumiss we mbwa. Wanachuo wengi ni watoto wa maskini ukweli mchungu. Mwenyewe nilikuwa chuo najua kila kitu.
TUENDELEE
Nilifunga mizigo vzr ilikuwa mingi ila kwa kuwa nilijiandaa taratibu haikunipa shida. Nilifikiria nipakize na mimi nijae kwny fuso nikaona so bora nichukue basi.
Mizigo nililipia elfu 18 huwezi amini ilikuwa mizito ila nilipanga vzr aise. Yaani ile nimeifikisha nyumbani kwa wazazi hata siamini.
Nikamuonesha mzee mizigo yangu nikawa namtolea vyombo ajue. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzee nikamfungulia shangazi lile. vipawa na miiko yangu miwili ilikuwa chini kabisa. Basi mzee kuiona alicheka sana akasema hadi upawa. Ila akasema safi ni bora kuliko kuuza.
Kisaikolojia nikaona tu mzee kajua huyu mbwa hana siku nyingi hapa home.
*****
Ninakuja siyo mida wakuu itaendelea.....
.
Well done mkuuNilianza maisha ya ghetto 11/5/2022 nilikuwa na mkeka na ndoo za maji.Baada ya wiki mbili nikanunua godoro.Last week nimeongeza mazagazaga..Kitanda, showcase na tv na mazagazaga mengine.Mapambano yaendelee.View attachment 2439245