Ulianzaje kukaa gheto?

Duh ! .Kuna watu mnahussle
 
Kwaiyo mkuu huna dem?
 
Ilitaka kufanana na mim, kidogo
 
Wazee saivi nshalipia geto, miezi 6 ka 480K,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bado nipo kwa golikipa nasbl pesa ninunue vitu
Aaah kwaiyo kodi inaendelea ww ukiwa haupo? Hongera sana mkuu...nenda hata na godoro tu ukalale kwako[emoji23][emoji23]
 
Aaah kwaiyo kodi inaendelea ww ukiwa haupo? Hongera sana mkuu...nenda hata na godoro tu ukalale kwako[emoji23][emoji23]
hapana mkuu, mkataba tumeandika naanza kukaa tar 01 wa 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…