Ulifanya Jambo la busara sanaMie nimeanza kazi mwezi wa tisa,nillua nakaa kwa ndugu wa kuunga unga,mwezi wa 12 huyo ndugu yanga akaondoka akaenda xmas na familia nikaachwa na mdogo wake wa kike yuko form 2,yule ndugu yangu alipoondoka yule bint akaanza kushinda chumbani kwangu eti anasikiliza mziki,nikaona anakoelekea siko,maana alikua hajatulia,nikapata room ubungo kilikua kistoo nikasema nitakaa tu hivyo hivyo kuliko kubaki kule maana ingekuja kua aibu ya mwaka
Fursa au msala?
Sufuria kubwa ya nn?Ghetto la msela .View attachment 1505994
Tupo mbn toa locationIt's a year now since i started a ghetto's life, naenjoy kula na kupika nnachotaka, ila sometimes naboreka kuwa mwenyewe tu ndani kama utumbo[emoji2960]
😀 karibu sana
Weuweee naziona zile vitu....[emoji7]
Na ukimaliza mkuu usirudishe kwa kipa..safi sanaNimeingia chuo mwaka wa kwanza mwaka Jana ....ila nikaona kukaa hostel kwa mwanaume ni ngumu sana ..nliingia kitaa now naishi geto. jiko la gesi ndoo tatu na jiko la mkaa na kwa life la mbeya lilivo cheap kwa mambo ya msosi rahisi sana ....sema tu bado bufa.....kama RAIA wengi walivo pendekeza.....inshort maisha ya geto akili inatanuka
Aaah mkuu nitajitahidi sana coz ukirudisha nyuma majeshi kuchomoa tena inakua ni ngumuNs ukimalza mkuu usirudishe kwa kipa..safi sana
Kumbe aliamua kutompa haki yake kisa hajatuliaMie nimeanza kazi mwezi wa tisa,nillua nakaa kwa ndugu wa kuunga unga,mwezi wa 12 huyo ndugu yanga akaondoka akaenda xmas na familia nikaachwa na mdogo wake wa kike yuko form 2,yule ndugu yangu alipoondoka yule bint akaanza kushinda chumbani kwangu eti anasikiliza mziki,nikaona anakoelekea siko,maana alikua hajatulia,nikapata room ubungo kilikua kistoo nikasema nitakaa tu hivyo hivyo kuliko kubaki kule maana ingekuja kua aibu ya mwaka
Mkuu umetisha ila nikupe tip. Faza mjengo akikuruhusu ukapiga rangi huo ukuta patakua pametisha zaidi
Hiyo fursa ingeweza ikageuka ikawa kashfa, mfano kale kabint kakashika mimba?
Msela Hashibi sufuria Ndogo
Nipo Sumbawanga mjini mkuu! Karibu
Gheto la kuchorwaGhetto la msela .View attachment 1505994
Weuweee naziona zile vitu....[emoji7]
Nipo Sumbawanga mjini mkuu! Karibu