Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaan anakuja na kichupi chake kipya analiwa kisawasawa,,kesho yake anakuja mwingineGeto sehemu ambapo wadada wanatafunwa kama nyama...
Wailesi [emoji3]Jina lako linataka kufanana na jina la shule niliyosoma O-Level
Aisee alikufukuza mzee au??Mh! hii ya leo balaa,,, kila MTU nilipomaliza chuo,, ooh! First year, watu tumetoka mbali... Kitendo cha kumaliza la saba ndo tiketi ya kuhama nyumbani. Nakumbuka kauli ya mzee huu ndo mlo wako wa mwisho cha ajabu sikumuelewa kilichonikuta asbuh nilijikuta natimuliwa ndani kama mbwa koko aliyekosea njia.nikijichek nimevaa kaptula na kaushi nikajichanganya kitaa.. okota skrepa sana!! nikajichanganya car wash zoote nikawa najulikan mwish wa siku nikaingia geleji. Ila geto letu ndo lilikua balaa watu 14 chin maboksi utajua pakula alafu kunuka kam beberu ilikua kawaida
Umesoma COeT mkuu?Tulipogoma pale coet mwaka 2011 Ili Jamaa flan arudishwe chuo ,COET WOTE WA MWAKA WA KWANZA TULIFUKUZWA HOSTEL NILIKUWA PALE HALL SIX CHUMBA FLAN
Baada ya kufukuzwa nikamua kutafuta ghetto msewe nilianza na chumba cha 30per month,5x6bed na fen yangu ya 40
Kiasi nikiweka bili ya msosi pale kota jiran na getmaji ya mwezi nikabakiwa na chenji kadhaa nikapaa ambiance kununua wanunuaji na kupata kinywaji
Maisha ya ghetto yalinzia pale na yalikuwa mtamu ya furaha bila karaha za humu mitaan
YeapUmesoma COeT mkuu?
Hii ID yako naifananisha na kijiji cha kule wilaya ya Kilombero kinaitwa SIGNALYeap
Ulianza kama utan mkuuTulipogoma pale coet mwaka 2011 Ili Jamaa flan arudishwe chuo ,COET WOTE WA MWAKA WA KWANZA TULIFUKUZWA HOSTEL NILIKUWA PALE HALL SIX CHUMBA FLAN
Baada ya kufukuzwa nikamua kutafuta ghetto msewe nilianza na chumba cha 30per month,5x6bed na fen yangu ya 40
Kiasi nikiweka bili ya msosi pale kota jiran na getmaji ya mwezi nikabakiwa na chenji kadhaa nikapaa ambiance kununua wanunuaji na kupata kinywaji
Maisha ya ghetto yalinzia pale na yalikuwa mtamu ya furaha bila karaha za humu mitaan
Ndio maisha mkuuUlianza kama utan mkuu
Ahahaha[emoji3][emoji3][emoji3]Geto sehemu ambapo wadada wanatafunwa kama nyama...
Wales ya Lindi au Temeke kule?Jina lako linataka kufanana na jina la shule niliyosoma O-Level
Umenipa moyo sana na nimejifunza sana kakaSo kupitia mimi hope mtajifunza vijana wenzangu kuwa endapo utalitumia vizuri basi hakika maisha yak yatabadilika.pia la mwisho ni kumtafuta mwenza mwenye maono ila uiangukia kwa kwa hawa makahaba wa mjini utaishia kuhangaika mwisho wa siku unarudi nyumbani ukiwa na miaka 40,bila kufanya lolote
Jerrybanks
Hii ndio JF kila mtu ana gari nzuri,ana demu mzuri ana degree first class.Kufupisha story ni kwamba gari ile niliifanya uber kipindi hicho ndo uber imeanza hope nilizisha mapambano kwani nlikuwa nahakikisha nalaza laki kila siku ya mungu na wife wakati yupo na ujauzito mkubwa akaajiri mtu wa kusambaza vitu vyake kwa wateja huku na mimi nikisambaza vyangu kwa gari huku wakati mwengne nikimsambazia na yeye,mwisho wa siku nilifungua duka ambalo wife baada a kujifungua akawa ndo msimamizi na pia deni la mzee la 20k kila siku nililitimiza na mwisho wa siku gari ikawa yetu,nakumbuka siku ya harusi babamkwe akatupa kiwanja kwa ksema altupa mtihani wa kujinunulia wenyewe means ile hela tulokuwa tunampa kila siku aliitu za na kutununulia zawadi ya kiwanja huk nasi tukiwa na vingine vitatu hiyo ndo story yangu ya geto ambayo imenipa mke na nyumba ambayo naimalizia now,watoto wangu mapacha,pamoja na gari 3,maduka na biashara nyingine na kunifanya nisahau kuajiriwa japo nna degree yangu ya first class