Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

mimi kipindi nasoma chuo nilifikiri sana baadae yangu, ni nini ntakua nafanya baada ya kumaliza chuo, ntakua wapi!?, sikupenda kurudi home na kukaa tu, so nilianza na plan ya kuweza kuanza kujiingizia kipato so nikawanafikiri ni njia gani nitumie ili niweze kujiigizia kipato, nikapata wazo nianze na biashara, sasa mtaji na aina ya biashara ikawa mtihani, nilikua napenda sana kucheza video games(playstaion) so ikabidi nipate wazo la kufungua frem ya kuchezesha ayo magame, nikaanza na kununua moja moja kwa kujibana kwenye ela yangu ya matumizi, kila semister nikawa najibana nanunua tv na playstion yake, nikafanikiwa kununua kama 3 ivi, ikawa mtihani kwenye kodi sasa, mwaka wa mwisho nikaminya kidogo kwenye ada nliopewa na mzee nikafungua frem ya kuchezesha ayo magame, apa ikawa ndo mwanzo wangu wa kuanza kujiingizia kipato mwenyewe still bado nikawa napewa pesa ya matumizi home, ikumbukwe kipindi chote iki naishi hostel, kwaiyo baada ya kuweza kujitengenezea pesa mwenyewe ndo likaja wazo la kutafuta gettoh sasa na apo ndo nikapata gettoh na maisha yakaanzia apo, pamoja na yote lakn kipindi nafanya saving nilipitia kwenye kipindi kigumu sana cha kiuchumi.

nawashauri tu unapofikiria kutafuta gettoh fikiria na njia za kupata pesa walau ata kama ni kidogo laa sivyo unaweza jikuta unaingia pabaya kwasababu ya shida ya pesa maana gettoh sio kodi tu pekee kuna bills za kila mwisho wa mwezi kama umeme, maji, usafi nk.
 
mimi kipindi nasoma chuo nilifikiri sana baadae yangu, ni nini ntakua nafanya baada ya kumaliza chuo, ntakua wapi!?, sikupenda kurudi home na kukaa tu, so nilianza na plan ya kuweza kuanza kujiingizia kipato so nikawanafikiri ni njia gani nitumie ili niweze kujiigizia kipato, nikapata wazo nianze na biashara, sasa mtaji na aina ya biashara ikawa mtihani, nilikua napenda sana kucheza video games(playstaion) so ikabidi nipate wazo la kufungua frem ya kuchezesha ayo magame, nikaanza na kununua moja moja kwa kujibana kwenye ela yangu ya matumizi, kila semister nikawa najibana nanunua tv na playstion yake, nikafanikiwa kununua kama 3 ivi, ikawa mtihani kwenye kodi sasa, mwaka wa mwisho nikaminya kidogo kwenye ada nliopewa na mzee nikafungua frem ya kuchezesha ayo magame, apa ikawa ndo mwanzo wangu wa kuanza kujiingizia kipato mwenyewe still bado nikawa napewa pesa ya matumizi home, ikumbukwe kipindi chote iki naishi hostel, kwaiyo baada ya kuweza kujitengenezea pesa mwenyewe ndo likaja wazo la kutafuta gettoh sasa na apo ndo nikapata gettoh na maisha yakaanzia apo, pamoja na yote lakn kipindi nafanya saving nilipitia kwenye kipindi kigumu sana cha kiuchumi.

nawashauri tu unapofikiria kutafuta gettoh fikiria na njia za kupata pesa walau ata kama ni kidogo laa sivyo unaweza jikuta unaingia pabaya kwasababu ya shida ya pesa maana gettoh sio kodi tu pekee kuna bills za kila mwisho wa mwezi kama umeme, maji, usafi nk.
noted big up bro
 
Hahah salute sana...inatiaga aibu sana..mdada ana geto alaf ukijichek mzee baba upo kwa mama[emoji16][emoji16]...big up sana
Mimi nina 23 years now, nimeanza kuishi geto nikiwa na miaka 19, baada ya kupote ada ya chuo million 2 na nusu ila saiv maisha yanaenda vzr tu namshukuru Mungu kwa kupoteza hela nilikimbia kipigo cha mzeee baba
 
Ni kweli mkuu...lakini ukishakua na majukumu ji rahis kuamua kupambana kusaka hela..kuliko ukiwa uko nyumbani..kila kitu bure...ile morale inapotea sana ya kupambana
mimi kipindi nasoma chuo nilifikiri sana baadae yangu, ni nini ntakua nafanya baada ya kumaliza chuo, ntakua wapi!?, sikupenda kurudi home na kukaa tu, so nilianza na plan ya kuweza kuanza kujiingizia kipato so nikawanafikiri ni njia gani nitumie ili niweze kujiigizia kipato, nikapata wazo nianze na biashara, sasa mtaji na aina ya biashara ikawa mtihani, nilikua napenda sana kucheza video games(playstaion) so ikabidi nipate wazo la kufungua frem ya kuchezesha ayo magame, nikaanza na kununua moja moja kwa kujibana kwenye ela yangu ya matumizi, kila semister nikawa najibana nanunua tv na playstion yake, nikafanikiwa kununua kama 3 ivi, ikawa mtihani kwenye kodi sasa, mwaka wa mwisho nikaminya kidogo kwenye ada nliopewa na mzee nikafungua frem ya kuchezesha ayo magame, apa ikawa ndo mwanzo wangu wa kuanza kujiingizia kipato mwenyewe still bado nikawa napewa pesa ya matumizi home, ikumbukwe kipindi chote iki naishi hostel, kwaiyo baada ya kuweza kujitengenezea pesa mwenyewe ndo likaja wazo la kutafuta gettoh sasa na apo ndo nikapata gettoh na maisha yakaanzia apo, pamoja na yote lakn kipindi nafanya saving nilipitia kwenye kipindi kigumu sana cha kiuchumi.

nawashauri tu unapofikiria kutafuta gettoh fikiria na njia za kupata pesa walau ata kama ni kidogo laa sivyo unaweza jikuta unaingia pabaya kwasababu ya shida ya pesa maana gettoh sio kodi tu pekee kuna bills za kila mwisho wa mwezi kama umeme, maji, usafi nk.
 
Basi mwanaume nikafunga safari mpka kwao na usafiri wangu wa boda boda,mara ya kwanza kuniona walidhani syo mwanafunzi bali boda boda tu,dah sku hii siwezi kuikumbuka katika maisha yangu kwani nilizungukwa na famila ya watu kama 15 nikiwekwa kati but sababu mke wangu nlikuwa nampenda nkakubali mimba na kuelezea future yetu ukweni hope kwa jinsi nlivyokuwa naongea walitokea kunipenda mno hasa kwenye uchambuzi wa hoja na kuwajibu kwa ustaarabu japo kuwa walikuwa wananipump niongee pumba,mwisho wa siku naambiwa una malengo gani na mwanetu kidumu nkafunguka mbaba mkwe alitokea kunikubali mno mwisho wa siku akanambia mwanangu,kwa kazi hyo ya boda boda ni hatari ngoja tuone tutawasaidia vipi watoto zetu,nikaruhusiwa kuondoka nikiwa na furaha
Hongera sana hakika ulipambana juu chini kutetea maisha na penzi pia.
Familia yako inaonekana ni yenye amani na upendo.Hakuna kitu kizuri kama mke na mme muanzie chini mpka juu mnakuwa zaid ya mapacha.
 
Dah nimemalza chuo mwaka huu nikaona kwenda home na kukaa bila mchongo itakua jam nikaja Arusha nmefikia gheto kwa mshkaji na mimi ni mgeni huku sina pesa ya kuanza kama mtaji na sina ramani hapa natafuta mishe yeyote halali niifanye japo naona mbele giza
 
Mh! hii ya leo balaa,,, kila MTU nilipomaliza chuo,, ooh! First year, watu tumetoka mbali... Kitendo cha kumaliza la saba ndo tiketi ya kuhama nyumbani. Nakumbuka kauli ya mzee huu ndo mlo wako wa mwisho cha ajabu sikumuelewa kilichonikuta asbuh nilijikuta natimuliwa ndani kama mbwa koko aliyekosea njia.nikijichek nimevaa kaptula na kaushi nikajichanganya kitaa.. okota skrepa sana!! nikajichanganya car wash zoote nikawa najulikan mwish wa siku nikaingia geleji. Ila geto letu ndo lilikua balaa watu 14 chin maboksi utajua pakula alafu kunuka kam beberu ilikua kawaida
Umetishaaa baba
 
Dah nimemalza chuo mwaka huu nikaona kwenda home na kukaa bila mchongo itakua jam nikaja Arusha nmefikia gheto kwa mshkaji na mimi ni mgeni huku sina pesa ya kuanza kama mtaji na sina ramani hapa natafuta mishe yeyote halali niifanye japo naona mbele giza
Bora ww mkuu...hapo kukaza tu soon unavuta geto lako
 
Back
Top Bottom