Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

hahaha mkuu kuna madaftari hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20190925_234614.jpeg
 
Safari yangu ya ghetto ilianzia pale nilipokuja mjini dar kutoka mbeya nilifikia kawe ghetto la mshikaji wangu huku nikiwa napiga kitabu NIT mabibo sasa kutokana najamaa angu kutaka mimi ndo niwe msafisha ghetto mpikaji nikaona miyayusho nikajichanga nikapata ghetto mabibo la elfu 35 kwa wanaopajua mabibo mabwawani nawale wahuni aibu!!! Haaha ukipita wanauomba 200 ukiwanyima jiandae jioni unavorudi kutoka kuangalia UEFA haahhaha huku nikiendelea nakitabu na michakato yangu mabo hayakua mabaya nikavuta ghett sinza madukani nikahama mabibo nikawa mtu wa sinza huku nikiendelea namichakato yangu mana masomo yakasimama akati nipo 2rd year ivo nikajikita zaidi katika michongo nikawa mkulima nikawa natumia fursa inayopatikn kama kipindi cha korosho nazama kusini kama kipindi cha mpunga naingia kyela mbeya namshukuru Mungu saivi nimehamia bunju nalipa 150k per month na nina kijikampuni kinachohusiana na aluminium. ... mwisho wa story
Hongera sana kuna ishu ningependa kukucheki pm mzee
 
hahaha simple eeeh, kwa boom labda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], hebu wewe mfanyakazi tupia picha ya chumba chako tuone sasa
[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom