grizzman
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 225
- 407
SansanNi subwoofer ya aina gani hiyo mzee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SansanNi subwoofer ya aina gani hiyo mzee?
Ni kifaa gani hicho mkuu?
ShukraniWoofer ni bass speaker inakua na input source kisha yenyewe inakita tu mziki
Ni kama ile monitor ya studio ila inakua na bass speaker
SawaSansan
Mzee safi sana huyo.Gheto nimeanza kukaa nlipoanza high school...Mzee wa mshikaji wangu alitupa nyumba ambayo haijaisha tukakarabati chumba kimoja tukahamia tukawa tunapiga Msuli humo...tunaenda kupiga msosi ma kwetu tunarudi Gheto kutoboa...after high school nikapata kazi mkoani, Mzee akanipa Godoro tu nikaanzie Maisha then akaniambia mimi na wewe are done, i never looked back since then.
Shukrani
[emoji41] [emoji41] [emoji41]Cheers [emoji1635]
Hapo bado vibuyu, hirizi na mikia ya mbweha uanze kuagua.Bado Nini Hapa Wapwa?View attachment 1711152
Hapo bado vibuyu, hirizi na mikia ya mbweha uanze kuagua.
Bado Nini Hapa Wapwa?View attachment 1711152
But most of them ....huanza mdg.mdg ...Kwani wanachuo wanafanana uwezo? Au unadhan wote wanaishi kwa kutegemea boom? We nae khaaah tembea uone.
Upo vzr mkuu[emoji106][emoji106][emoji106]Ktk maisha yangu sijawahi nunua kitu kwa mtu, kitu nikikipenda natafuta hela naingia dukani kuchukua, na ktk maisha yangu sipendi vitu vya kupewa au kuachiwa.
Kaka zangu (twins) wanasoma Muhas last yr now, na hao wenyewe kila mtu anaishi kwake japo ni majirani tyuuh sehem wanayoishi. Wakimaliza vitu vyao uamuzi ni wao kuuza au kurudi navyo home.
Kwa upande wangu vitu nilivyokua navyo nikihitimu siwezi kuuza narudi navyo home tyuuh. Ili nikaanzie maisha sehemu nyingine.
Dadeq[emoji23][emoji23][emoji23]Bado Nini Hapa Wapwa?View attachment 1711152
Apo tangaza .....kuwa ......unatbu .. Covid 19Bado Nini Hapa Wapwa?View attachment 1711152
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hapo bado vibuyu, hirizi na mikia ya mbweha uanze kuagua.
Kwamba upo kweny maintenance sio [emoji1787]Naona Uzi ..umefufuka tena ...na kupata wachangiaji wapya ....twende kazi
Geto langu siwez post now coz npo kwny maboresho ....pia n mgeni kwny haya mambo ya mageto [emoji23][emoji23][emoji23]
Babu hyo system sio poa...majiran watahama[emoji1787]Bado Nini Hapa Wapwa?View attachment 1711152