Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
250.. mchina
Mbao kawaida 350
Classic 450
Mninga inazidi hizo bei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
250.. mchina
Mchina ndio kama haya250.. mchina
Mbao kawaida 350
Classic 450
Mninga inazidi hizo bei
Ila asante kwa response yako.250.. mchina
Mbao kawaida 350
Classic 450
Mninga inazidi hizo bei
We jamaa haukufnya poa kuuza aise.kipind nmeanza kukaa getto kuna siku dingi alikuja kunicheki (nilikuw naumwa) alikuta nalalia mkeka na shuka moja ya kimasai.
nilikaa nae kama masaa manne akaniaga anaenda sokoni wakati anarudi nikasikia mlio wa pkpk kutoka nje namuona anashusha godoro 5x6 alafu nene kichiz akanipa kisha akaaga anarudi nyumbani maana muda wa magari ulikuw umeenda.
haikuchukua ata week nililiuza nikaongezea kwenye biashara nikaendelea kulalia mkeka.
sasa kuna siku alikuja town akaomba aache mizigo yake kwangu aisee ..............
ila haya maisha
mkuu shida unaijua vzr???.biashara ilikuw imeyumba sana,kodi sijalipa,mbaya zaidi frem ikachukuliwa na mwenye nayo so nikaanza moja tena,manzi niliyekuw naye alianza nyodo nikapoteza ramani
Bed liko poa saana big up.Saiv ishasogea kidogoView attachment 2204261
Mkuu hii ya kuuza godoro ilishawahi kunitokea hata mimi nilijichanga nikanunua godoro baadaye life likayumba ikabidi niuze hiyo hela nikalipia kodi ya nyumba. Ninamshukuru Mungu sana baada ya msoto wa muda mrefu nilikuja kutoka kwenye hiyo hali.mkuu shida unaijua vzr???.biashara ilikuw imeyumba sana,kodi sijalipa,mbaya zaidi frem ikachukuliwa na mwenye nayo so nikaanza moja tena,manzi niliyekuw naye alianza nyodo nikapoteza ramani
ila huwez amini kasi niliyorudi nayo hata mm najishangaa .dingi nilimftafutia bonge moja la zawadi hadi leo sijamwambia zawad ilitokana na nini
Hizo ndio mostly uwa 450K ila kwa Dar bei yaweza kuwa chini..Mchina ndio kama haya
View attachment 2207871View attachment 2207872
Sent using Jamii Forums mobile app
Viazi vibichi,mayai hayajaiva hapo ni vijambo tu!View attachment 2172587
Hata kama maisha magumu vipi-je na mapenz yanakutesa?[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] ok usiache kula
#whtehousekwamnyabiikuluyao
Rangi nyeupe ndo nzuri, [emoji3059][emoji3059][emoji3059]Hizo ndio mostly uwa 450K ila kwa Dar bei yaweza kuwa chini..
Mchina ni zile za spesho kama hii [emoji107]View attachment 2207924
Pazia km pazia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2204099
[mention]Analyse [/mention] juu ya speaker pale unaona ule mwanga?
Kwakua nmepiga kwa mwanga wa camela haionekan good
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwezi june naanza kuishi gheto INSHAALlAH
View attachment 2203512
Sent using Jamii Forums mobile app
Had kata chumba khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Saiv ishasogea kidogoView attachment 2204261
Pazia km pazia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jichange unue kabat la kueleweka hilo sio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu huko. Msieeeew[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oyaa