Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Sikai nao mzee[emoji23][emoji23]afu si ulisema una watoto 3 hukai nao ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikai nao mzee[emoji23][emoji23]afu si ulisema una watoto 3 hukai nao ?
Hahaha life la kininjaNatoroka kulipa bili nakimbilia kwa mshkaji wangu nakutana na mshkaji wangu naye anatoroka kulipa bili anakuja kwangu.
Tukaenda zetu kukaa baharini kuanzia asubuhi mpaka saa nne usiku tukaenda kulala kwa mshkaji wetu mwingine na ndiyo tumeamka hapa.
Karibu sana mkuuSikuwahi kutilia maanani sana huu uzi. Lakini kwa mara ya kwanza nimekutana na kitu. Link nilitumiwa na member wa jf mwaka juzi, lakini Leo baada ya kukosa cha kufanya nikaona niingie hapa. Mbarikiwe, naamini hadi kufika mwisho nitakuwa nimetoka na kitu.
Vijana wameamua kukomaa kitaa mpaka kieleweke, japo kwenye upambanaji unapoona umezidiwa mashambulizi na mpinzani wako unaamua kuretreat ili ujipange upya inakuwa siyo udhaifu bali kupata muda wa kusoma mbinu za adui yako ili urudi upambane naye.Mtaani kugumu! Hamna alierudisha mpira kwa kipa?
Hii inaitwa "kheri ya jana ",unakula kwa namba, unalala kwa kubuni [emoji41][emoji41][emoji41]Natoroka kulipa bili nakimbilia kwa mshkaji wangu nakutana na mshkaji wangu naye anatoroka kulipa bili anakuja kwangu.
Tukaenda zetu kukaa baharini kuanzia asubuhi mpaka saa nne usiku tukaenda kulala kwa mshkaji wetu mwingine na ndiyo tumeamka hapa.
Labda wewe[emoji23][emoji23]Mtaani kugumu! Hamna alierudisha mpira kwa kipa?
Ukikutana na mshua ana roho mbaya halafu kicheche mbaya pengine analipizia hustle alizokomaa nazo kabla hajakaa kwenye reliHahaha life la kininja
Kwan kipa yeye maisha yake sio magumu? Au yeye haishi mtaani?[emoji23]Mtaani kugumu! Hamna alierudisha mpira kwa kipa?
Aiseee,..Nipo mkoa mmoja wenye baridi nyanda za juu kusini, nipo geto hapa godoro tu nimeliweka chini pamoja na jiko la gesi la kupikia, maisha yanasonga mdogomdogo.
Mimi nipo kwa shemeji.Labda wewe[emoji23][emoji23]
We pacha hebu niache mimi, huo ukipa nimeutoa wapiKipa anarudishaje mpira kwa kipa?😳😳
Aisee
Kinachowakimbizaga home ni hicho tu.......[emoji41]Mdogo mdogo, nimetoka kuvuta mzigo huo, wa Seapiano ... Kwahyo nitakuwa huru, kwenye ulaji wa mbususu.. bira majirani kusikia sauti za mliwaji..View attachment 2238543
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Utaoa lini?Sometimes mambo yakikubali unajipa shavu mwenyewe[emoji16][emoji18]
This food brought to you by me na kuliwa na mimi kwa kusindikizwa na Kizz Daniel ft Tekno-Buga won[emoji847]View attachment 2238605
Nawe utupieall the best masta
Muone controla atakupa muongozo jinsi ya kuosha vyombo[emoji2440][emoji2440]Wajuba mko vizuri..mi kwenye kuosha vyombo na kupika,naonaga ishu kichizi yan