Mie nakaka lenye mneso ili nikiwa nagegeduana napate raha ya mnesoInategemea unahitaji godoro la aina gani,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nakaka lenye mneso ili nikiwa nagegeduana napate raha ya mnesoInategemea unahitaji godoro la aina gani,
Mungu ni mwema.Hapa ndo nilivyoanza.View attachment 2245724
Nunua la spring ni laki 8+Mie nakaka lenye mneso ili nikiwa nagegeduana napate raha ya mneso
[emoji23][emoji23]Au sio...ila ni kiwanja.Mkuu kwa bei hiyo bila shaka kiwanja kipo juu ya mawe
hicho ni kama niliokota tu maana mwenyewe aliuzia shida kubwa sana.Mwanza kiwanja ni bei hiyo laki mbili na nusu,,,maana natafuta mkoa nataka nijilipue
Ni tambarare mkuu huwezi amini.Mkuu kwa bei hiyo bila shaka kiwanja kipo juu ya mawe
Hongera sana,,,,hapo unajenga sebule chuma/choo life linasonga.hicho ni kama niliokota tu maana mwenyewe aliuzia shida kubwa sana.
Bei ya chini ni laki 7 hadi vya milioni zaidi ya 200 vipo
😲Laki nane!!???Nunua la spring ni laki 8+
Unadhani ni buku nane[emoji23][emoji23][emoji23][emoji44]Laki nane!!???
Wee mwanaume kukaa gheto hatuanzi na godoro la million kasoro. Acha zako. Hiyo million ujue ndio tayari gheto lilisha ng'aa kabisa....kinachobaki hapo ni kualika mrembo aje alibariki kwa kukojolea godoroUnadhani ni buku nane[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona mwanaume yupo kwenye geto lake mpe salute[emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka hilo la 260k. Nalipatajemzabzab chagua size yako,,,usiwe na presha bei ya kawaida sana mzeya.View attachment 2245748
Ook najua huko godoro ni bei chee,,,,majuzi nilienda uliza bei ya godoro la ndoto yangu nikaishia kupigwa na kitu kozito,,,nikajisemea bado sana[emoji2440]Wee mwanaume kukaa gheto hatuanzi na godoro la million kasoro. Acha zako. Hiyo million ujue ndio tayari gheto lilisha ng'aa kabisa....kinachobaki hapo ni kualika mrembo aje alibariki kwa kukojolea godoro
Dukani bana,,,,Nataka hilo la 260k. Nalipataje
Tukaishi wapi? unatakaWala dar sipataki,nimepachoka.
kuna mtu anaenda kuliwa kimasiharaUkifika iringa nishtue
Haya wee! Utanipa mrejesho bila shaka umepakutaje [emoji41][emoji41]Naenda kuchek tu[emoji23]
Duuuh, labda kwa mtoto wa kike.Home,,,,inategemea kama ni mtu wa misele unapaona hakuna uhuru,
Lakini kama sio mtu wa misele home patamu[emoji23]
Nimeshamwambia kwa wakike sawaDuuuh, labda kwa mtoto wa kike.