Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,680
- 4,204
Bei waga zinabadirika badirika ila me nilivuta Kwa 1.2MBei yake ni ngap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei waga zinabadirika badirika ila me nilivuta Kwa 1.2MBei yake ni ngap?
Balaa hicho chuma, si unaona si unaona kinavyong'aa.Duhhh hatari sana mkuu, Mkataba huo
Daah kumbe inawezekana ila ni vile tu kuamua,ingawa unatoa pesa huku inauma ila sio case kwasababu mzigo unakua nao home na unauona kila siku.Bei waga zinabadirika badirika ila me nilivuta Kwa 1.2M
Ni kweli ukiwa na 55" at least unapunguza tamaa ya kuwa na TV kubwa zaidi, maana hizi TV waga zina tabia ya kuanza kuonekana ndogo kadri unavyozidi kuitumiaKaka 55" si kishkaji,ni kitu haswaa,inauzwa bei gani kwa ukubwa huo?
Dahhh kinawaka Hatari, of course hicho ni chuma kweli kweli sio poa, upo wapi Kiongozi?Balaa hicho chuma, si unaona si unaona kinavyong'aa.
Kama haujui mbao husika, unaenda shikishwaWadau nina 800k nataka ninunue kitanda na godoro zuri vya kudumu ila juzi kati nilienda kwa fundi wa vitanda akaniambia kitanda kizuri cha mbao za mninga minimum niwe na 800k akanionesha na picha baadhi ni vizuri kiukweli nikamwambia nitarudi ngoja nijipange, ninachotaka kujua ni kweli vitanda vya mninga vina bei kiasi hicho? au kama kuna mtu anajua sehemu naweza pata kitanda kizuri cha kudumu aniambie wakuu at least 600k naweza kununua.
Umechonga mwenyewe hii?Kitu cha mninga hicho.View attachment 2469964
Bado kuoa tu mkuu😃😃😃😃Ni kweli ukiwa na 55" at least unapunguza tamaa ya kuwa na TV kubwa zaidi, maana hizi TV waga zina tabia ya kuanza kuonekana ndogo kadri unavyozidi kuitumia
Hiyo chombo ilinitoa 1.2 mkuu
Mimi niko Iringa Mkuu.Dahhh kinawaka Hatari, of course hicho ni chuma kweli kweli sio poa, upo wapi Kiongozi?
Yeyote mwenye connection husika amsaidie ndugu yetu huyu ili aendelee kusalia Maghetton.Wana ghetto tupeane ramani za kuendelea kusalia ghetto.
Mimi natafuta tender ya part time, kufundisha English Language aidha kwa mtu binafsi, kituo ama taasisi mathalani shule.
Ikiwa utafikia mawasiliano yangu ni
0743123946
Ehhh huko ndio penyewe Kwa upande wa Mbao quality, me najichanga saizi nipate Showcase moja matata sana ya MningaMimi niko Iringa Mkuu.
Mimi ni fundi Mkuu,so vitu vyangu najichongea mwenyewe.Umechonga mwenyewe hii?
Huyo muolewaji angekuja kile kipindi cha kutandika godoro chini, ila kwa sasa asuburi kwanza watu tuenjoy Ghetto [emoji16][emoji16][emoji16]Bado kuoa tu mkuu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huku mbao za kutosha Mkuu, changamoto kidogo ni katika ni hayo materials mengine kama Soft Put, Sanding sealer,Stain, Clear coat,n.k.Ehhh huko ndio penyewe Kwa upande wa Mbao quality, me najichanga saizi nipate Showcase moja matata sana ya Mninga
Safi sana mkuu, kama hutojali unaweza kushea nasi baadhi ya kazi zako ili tuweze kuchangiana wenyewe kwa wenyeweHuku mbao za kutosha Mkuu, changamoto kidogo ni katika ni hayo materials mengine kama Soft Put, Sanding sealer,Stain, Clear coat,n.k.
Katika issue ya mbao hatupati tabu kabisaaaa!! Haswa hizi pine.
Uko mkoa gani Mkuu? Huku niliko mninga ni 950k-800k (6*6), 5*6 ni 750k-600k.
Kama haujui mbao husika, unaenda shikishwa
Kwa Mninga mkuu ni kweli kabisa, tofauti na hapo labda uwe na fundi mzuri Mkoani kisha akutengenezee design unayotaka wewe akuagizie ndio utapunguza gharama na kufikia 550-600k
Ni kweli mkuu, ni kwa Neema tu ila ata mie waga kuna muda najiuliza niliweza vipi Ku survive na hiyo amount maana mahitaji yalikuwa mengi sanaKweli maisha ni kupambana na uvumilivu ilo geto mtu awez amin ulikwa unalpwa 150k.