fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 537
- 556
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asikuambie mtu stimu kubwa ya ganja Ni kucheka aisee.kitu kidogo unaeza cheka mpka machozi ..nakumbuka tulipiga skanka afu jamaa mmoja akapiga story ya uongo.aisee tulicheka kuanzia saa 3 usiku mpka saa 7 usiku .yaan tunacheka afu tunakaa kimya hata dk 10 afu anaanzisha .mmoja kucheka tena[emoji23] ...kesho asubuhi tukafukuzwa na faza house na Kodi yetu akatupa nusu .tukaanza mlaumu aliekua anatuchekesha
Haikupigwa threesome hapo?[emoji36][emoji36]Mie niliwahi kuvutaaa mara 1 hivi, wakat nipo 4m 3, ilikua likizo, nilikua na shost angu, sasa mchumba wake alikua mvuta bangee, siku hyo tupoo wotee mie, shost na mchumba ake,
Ndo akatuambia tuvutee kidg, aiiiiiiiih tulivutaaa ina kaharufu fulaan ka kushawishi, acha tuvutee, baadae tukanywa na ZED,
Usingizi ulikuja wa ajabuuu hata sikuelewaaa, ilikua saa 7 mchana nimekuja kustuka saa 5 usikuu, shost kalala fofofo, mchumba ake hayupo,
Namuamshaa shost kalala hatak kuamka, mie nkatoka zangu, kurud home, huku nna wenge kichwan, kufika homee niliburuzwaaa fimbooo, sema waligundua nimelewaa, hawakujua na bange nilivuta.
Tangu siku ilee sijawahi tenaa, japo mshua ni mlimaji mkuu wa bangee na mie naijuaa tangu kuipanda had kuivunaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Asikuambie mtu stimu kubwa ya ganja Ni kucheka aisee.kitu kidogo unaeza cheka mpka machozi ..nakumbuka tulipiga skanka afu jamaa mmoja akapiga story ya uongo.aisee tulicheka kuanzia saa 3 usiku mpka saa 7 usiku .yaan tunacheka afu tunakaa kimya hata dk 10 afu anaanzisha .mmoja kucheka tena[emoji23] ...kesho asubuhi tukafukuzwa na faza house na Kodi yetu akatupa nusu .tukaanza mlaumu aliekua anatuchekesha
hata mimi sijui shida ni nini?Wakuu mm mbona huwa navuta lakin sijawah pata stimu yoyote yaan shida nn kwan?
Shida unavuta kush kama sigarahata mimi sijui shida ni nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi nilifanya kutest kama utafiti sijawahi vuta maishani, mi niliikula (edible) af nikatoka nikaenda gonga supu ya kuku ili niisharabu kikamilifu.
Bhana wee nilipigwa high ya kama masaaa nane hivi. Imagine.
Nilikuwa nasoma kitabu nishasahau kama nimekula bhange nikashangaa nafurahi tu[emoji56]. Bhana wee nilikula matunda yote nilokuwa nayo ndani nikanywa maji eti kuiflush mwilini lakini wapi.
Ila mmea ulinifanya kujiuliza swali moja kwamba hivi kuna maana gani tunakula, tunaenda tunakunya af tunakula tena af tunakunya tena?! Ni ujinga tu. Lakini oia tunaenda kufanya kazi tunaamka tunaenda tena tunarudi tunalala tunaamka tena cycle za kijinga tu.
Af kuna ile unapoteza kumbukumbu ya kitu unakifanya hapohapo imagine. Unachukua glasi unakunywa maji halafu unasahau kama umekunywa funda zilizopita unashangaa glass imeisha unaanza kujiuliza; ivi ni kweli nimekunywa maji au nilisahau kumimina nikanyanyua glass tupu!??[emoji848]
The best thing ni kwamba muda ulipungua kasi mnoo, slow time dilation! Yaan kile kiswitch cha heater kujizima nilikiskia in slo mo; yaan 'ktaaaa' nikafraahi kichizi.
Mambo ni mengi tu. Ila those 6-8 hours were rhe experience of a lifetime asee, sijawahi kurudia hadi leo[emoji28][emoji28]. Na situmii kilevi chochote.
hamna navuta kama inavyotakiwa kuvutwa lakini sipati stimuShida unavuta kush kama sigara
Wala hata.Haikupigwa threesome hapo?[emoji36][emoji36]
[emoji23][emoji23]Tunasubir hyo story mwamba hyu hpaNi story ndefu kidogo nitaelezea siku ingine ila kifupi naipenda sana hii biashara maana kwa kiasi flani imesaidia sana kubadiri maisha yangu!
Nimeweza kujenga, kusomesha watoto na pia nimenunua kagari(kama kale ka mr Bean)
me pia nawakubali sana madem wanao kula kituMimi bangi situmii niliwahi kujaribu miaka mingi sana nikiwa secondary... But kwasasa Am in love na wanawake flani hivi warembo halafu wanavuta ganja, aisee huwa nawaelewa sana... Hata kuchepuka nao ni raha halafu wengi wao wana akili sana...
Hivi wew ni kidume cha mbegu kweli?Wala hata.
hii story nzuri sana ๐๐Mi nilifanya kutest kama utafiti sijawahi vuta maishani, mi niliikula (edible) af nikatoka nikaenda gonga supu ya kuku ili niisharabu kikamilifu.
Bhana wee nilipigwa high ya kama masaaa nane hivi. Imagine.
Nilikuwa nasoma kitabu nishasahau kama nimekula bhange nikashangaa nafurahi tu๐. Bhana wee nilikula matunda yote nilokuwa nayo ndani nikanywa maji eti kuiflush mwilini lakini wapi.
Ila mmea ulinifanya kujiuliza swali moja kwamba hivi kuna maana gani tunakula, tunaenda tunakunya af tunakula tena af tunakunya tena?! Ni ujinga tu. Lakini oia tunaenda kufanya kazi tunaamka tunaenda tena tunarudi tunalala tunaamka tena cycle za kijinga tu.
Af kuna ile unapoteza kumbukumbu ya kitu unakifanya hapohapo imagine. Unachukua glasi unakunywa maji halafu unasahau kama umekunywa funda zilizopita unashangaa glass imeisha unaanza kujiuliza; ivi ni kweli nimekunywa maji au nilisahau kumimina nikanyanyua glass tupu!??๐ค
The best thing ni kwamba muda ulipungua kasi mnoo, slow time dilation! Yaan kile kiswitch cha heater kujizima nilikiskia in slo mo; yaan 'ktaaaa' nikafraahi kichizi.
Mambo ni mengi tu. Ila those 6-8 hours were rhe experience of a lifetime asee, sijawahi kurudia hadi leo๐ ๐ . Na situmii kilevi chochote.