Ulianzaje kuvuta bangi?

Nakumbuka nilienda shambani na vibarua wa mzee kupanda mazao. Muda ulikua umeenda sana majira ya saa 5 au 6 mchana na jua inawaka balaa.
Jamaa wakasema bila msuba\kush hawatoboi so majamaa wakaomba dereva wa trekta awatafutie.
Nakumbuka ilikuwa mbichi mbichi ivi so iliwatesa sana kuwaka.

Wakati wanapambania kuwasha na kuvuta kush dereva wa trekta akawa kashapiga mistari ya kutenganisha shamba.

Ghafla kibarua mmoja akatoka mbio mbio na mbegu akawa anamwaga kwenye ile mistari ya kutenganisha vitalu kwa spidi ya Ajabu huku akilifukuzia trekta, vumbi likimtimkia bila kujali.

Hii siku nilicheka sitokaa nisahau maisha.
 
Yaani unavuta bangi ili ukaibe mafuta ya transformer? Sasa nikupe mchongo: changanya bangi na mavi kavu ya nguruwe halafu piga pafu hiziii sita mbona utaenda kuibeba benki kuu na kuihamishia kwako. Yaani wewe utakuwa ni mwendo wa kuchomoa mihela tu mara leo euro, kesho dolari nk.
 
Kwa mara ya Kwanza navuta mmea wa Baraka ilikuwa 2007.

Nimenyonga kwa kutumia gazet kisha nikavuta japokuwa sikunyonga kawaida.

Nikavuta mmea wangu asee baada ya hapo nikachukuwa dafatari nisome sasa,asee niliona maandishi ni madogo sana na mwanga wa taa naona umepungua kishenzi asee. Ghafla bro kaangia ndani akaniambia asee umevuta bangi nilibisha kinoma. Kumbe ile kitu bana mvutaji haskii harufu hata kidogo.

Kuanzia siku hiyo skuvuta tena. Ilipofika 2022 nikiwa na washakaji zangu tunaendaga Sana club siku Za weekend, Sasa bana sku moja nikamwambia mwana anipe kitu. Nikavuta asee nilianza kucheka kinoma nikiwachek wale wanaocheza mziki pande ndani ya club afu naona hawana akili kabisa yaani wameacha kitanda usiku ule walipaswa walale.

Alafu baada ya muda maswali yakaanza kuja kwangu mwenyewe Sasa wale wanacheza mziki inamana wanafurahi sana au baadhi yao wanaekti kuwa Na furaha alafu hawana.? Vipi na Mimi hapa nimekuja hapa club kuwashangaa watu waliocha kulala na kuja kutumia pesa zao asee huu ni upumbavu.

Wakuu skuichukuwa muda mrefu nikawaambia wanangu tuamsheni asee muda umeenda.

Sasa nikawa nakula kitu kinoma asee.
Stimu zinakuja za kujiuliza maswali magumu sana kuhusu hii DUNIA kuhusu NGUVU KUU YA HUU ULIMWENGU (MUNGU)

maswali kuhusu kufanya kazi Kwa mtu na kufanya kazi mwenyewe faida na hasara yaani Ni balaa tu. Nachambua faida na hasara baada ya muda napata majibu alafu naanza kutabasamu mwenyewe.

Wakati mwingine nikivuta navuta nipo ndani inanijia picha kwamba flani anakuja hapa ndani asee Kweli baada ya muda kidogo jamaa huyo anakuja Na wakati mwingine naenda Mbali sana kihisia kwamba akija atafanya hivi atashika hiki ataongea hivi alafu Mimi nitamjibu hivi akianza kuleta stori ambazo sizitaki nakaa kimya nafanya kama sjamskia hivi.

Wakuu asee mambo ambayo nilikuwa Na waza mtu Yule akifika asee Kweli bana baadhi yake alikuwa anafanya yaani kwenye 100% ya mawazo yale basi unakuta anafanya 80% Na Kweli akianzisha stori ambazo sizitaki nakaa kimya nakuwa bize na simu.

Hii NGUVU ya mawazo yale sjui ilikuwaga nini wakuu.?

Kiufupi bangi haitaki makelele.

Kwa sasa NIMEACHA kuvuta kabisa.
 
Ulianzaje kutafuta maisha?
Ulianzaje kukaa ghetto?
Ulianzaje kujenga nyumba yako ya kwanza?

Mara paaap
Ulianzaje kujichua ( Punyeto) ?
Ulianzaje kuvuta bangi ?

Ngoja tuendelee
Bado ya upinde tuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ilikua bangi mbichi nikaweka juu ya sinia nikaikausha kwenye moto kama nakaanga karanga ilivyokauka nikachukua rizla nikanyonga vizuri nikairipua ile nimepiga moshi tatu nikaskia kichwani kama kuna mtu anapiga azana.

Nikaanza kukimbia niende nyumbani kuangalia nyuma naona nguzo za umeme zinanikimbiza
 
Wee jamaa muongo sana.

Jamaa alimuuliza mama yake alipe sh ngapi baada ya kumaliza kukila chakula alichopewa na mama yake. Alijua pale ni mgahawani.
 
Da we jamaa bwana.
 
Kweliii mzee, nimesoma hii comment nimejikuta nacheka nusu saa nzima.
 
Hii effect ipo sana, hata marasta wanaisema kwa mrengo huu. Sa sijui wanaochanganyikiwa inakuwaje?

Au ndo vile wanasema bhangi itakikuza kile ambacho tayari kipo kichwani kwako. Kama unawazaga vitu vya maana utatafakari even deeper, ila kama mtu anawazaga ujingaujinga ndio anachanganyikiwa kabisa maybe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ