Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Unataka nikutajie jina? Wacha ubishi kuna watu tunawafahamu Wana maambukizi ya HIV na wameoana na wasiokuwa na maambukizi baada ya kufanya yao na mtu wa maabara.
Jaman hii dunia.....sikio tu kwa watu,ila usishuhudie...
 
Manaume majinga sana!! mtoto wa kiume ndo ana madhara lkn wa kike weye beba tu!! utamkula na/zalisha huko mbele ya safari mamake atajua sasa! akimbie au akae!! ningekuwa mie lazima nikatafute nikakule!

vitoto vya kike havikawii kukomaa!! nakala weeee!! mapaka kieleweke kanazaa vizuri tu! asinifanyie ivo na kuniroga haniwezi! namfunga pingu ndiii!! ushenzi juu ya ushenzi tyuuu hkn namna!

Mtoto lazima alipe!! labda km huyo me umezeeka!
 

Bangi ipigwe marufuku nchini
 
😂😂😂
 
Ni 5 %hyo kubwa hvyo

Dereva anazaa na mke wa tajiri
Mke wa dereva anazaa na mume wa tajiri.

Tunaumizana wenyewe kwa wenyewe
Bangi ipigwe marufuku nchini
Angalia sasa!...…. kwani damu yako ile??? NYie ndo mnajinyongaga nyie kakule tu si ulipigwa?? hata kakiolewa fuata piga hapa jamaa akuleelee mutoto!...zisitaki mbichi hizi labda kasiwe kazuri
 
Mimi kuanzia mazingira ya mimba niliyakataa mpka mtoto anazaliwa.

Nilipo komaa kutaka kujua ukweli mama mtoto akanichana kua nikweli Mimi si baba was huyo mtoto. Kuanzia hapo akawa official X
 
Mimi kuanzia mazingira ya mimba niliyakataa mpka mtoto anazaliwa.

Nilipo komaa kutaka kujua ukweli mama mtoto akanichana kua nikweli Mimi si baba was huyo mtoto. Kuanzia hapo akawa official X
Je ulikataa ukijua sio ya kwako kweli au ulikataa kwasababu ya kukwepa majukumu?
 
Mimi nilitulia...nikatuma elfu 15,mpaka niliposkia ameenda hospitali..nikajipeleka kisirisiri..nikamkuta mwanaume mwenzangu amenitangulia..nukajua ndiye Muhusika..maana mtoto alitoka wa kipemba wakati Mimi mwenyewe gunia la mkaa..
 
Mkuu kama ulikuwa unahisi mimba ilikuwa siyo yako ungeikataa kiujanja yani unakuwa msumbufu kwenye kutoa huduma
 
Sasa mkuu umelea mimba mpaka mwanamke kakifungua ukaishi nae, sasa hukuwajua ndugu zake na wazazi wake maana ni ngumu kuzaa na mwanamke halafu husijue ndugu zake
 
Muache kutongoza magume gume yanajua kila kitu hadi mimba zinazotishia kutoka.😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…