Kama hizo 30,000 mnaziona ndogo kwanini hampewi na baba zenu wazazi mnawatapeli wanaume?
Wewe ni boya kwa kupiga mjamzito na kuona ni sifa. Ni boya kupiga mwanamke let alone mjamzito.
Yani unataka ulale na mwanamke afu matumizi apewe na Baba yake? Nyie vivulana vya siku hizi vizwazwa sana. Mnakimbia majukumu na kujisifia ujinga tu. Baba yake alimpa akiwa kwao
Wakati we hizo 30 unatoa tu za icecream na sio papuchi wala
Oooouuuu 😂😂Weuweee 😂
Nimekuja mbio nikajua umeshabambikwa mtoto nianze kuchekaMbona zijakuelewa vema hapo mwishoni, mwanamke alijifungua ndipo ukagundua mtoto sio wako au ujauzito ulitoka ukiwa na miwzi5 mitatu, story yako mwishoni haijakaa vema.
Weeeee me kwanza ili nibambikiwe sijui itokee vipi. Kwanza kanuni ya kwanza sina mahusiano na mtu nisiyemuamini mwenendo wake. Na hadi nijiridhishe sana ndipo tutajikuta kitandani pamoja. Nje ya hapo mitego ya wizi wizi huwa sinasi.Nimekuja mbio nikajua umeshabambikwa mtoto nianze kucheka
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2297][emoji2297][emoji2357][emoji2357],unajiuliza mimi kabisa comrade ! Linanikuta jambo..Unaweza kuwa mjanja sana ila mapenz Kuna namna kilamtu kaonja maumivu unapigwa had unajiuliza hiv ni mm huyu nadanganywa kiasi hiki [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu niache [emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119]Na unanyooka haswa utatamni Hadi uwasimulie majirani[emoji23][emoji23]
Kuna hizi kesi za baba kulala na mwanae wa kumzaa ( sio baba kubaka mwanae wa kumzaa). Hivi hizi kesi huwa mnafuatilia zinaishia wapi?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manaume majinga sana!! mtoto wa kiume ndo ana madhara lkn wa kike weye beba tu!! utamkula na/zalisha huko mbele ya safari mamake atajua sasa! akimbie au akae!! ningekuwa mie lazima nikatafute nikakule!
vitoto vya kike havikawii kukomaa!! nakala weeee!! mapaka kieleweke kanazaa vizuri tu! asinifanyie ivo na kuniroga haniwezi! namfunga pingu ndiii!! ushenzi juu ya ushenzi tyuuu hkn namna!
Mtoto lazima alipe!! labda km huyo me umezeeka!
Hatimae akawa single maza by choice [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati niko chuo miaka hiyo nilikuwa na Mpenzi wa Uswazi.
Kiukweli alikuwa mzuri na alikuwa ananipa mapenzi motomoto.
Ilifika mahali akawa ananiletea pesa chuoni au chakula cha nyumbani kizuri.
Basi siku zikasonga na nilipanga nitamuoa nilimuona ana tabia njema na mchapa kazi.
Kwa kuwa nilikuwa bize na masomo ilipita kama miezi mitatu hatuonani ila tukiwasiliana mara kwa mara kwenye simu. Nilijua yuko na mishe za pesa kwani tulishaongea na kupanga mikakati ya kazi fulani mimi na yeye.
Basi ikawa anaanza kuja kunitembelea aisee alikuwa anang'aa pamba kali mtoto kiuno kinazidi kuchanika ndembe ndembe.
Nilimuuliza mwenzangu vipi michongo imekubali mbona maisha yako umebadilika akasena mambo si Haba Mr Rasterman na leo nimekuja nikuletee zawadi. Basi nikamkula siku hiyo.
Ikapita kama miezi miwili akaja nikanuona ana mimba Kubwa usawa wa miezi minne hivi.
Siku hiyo kavaa nguo za kubana ili nisione. Akaja room wakati nataka kupiga machangamsho nikaona tumbo la mimba kubwa. Ub....o ukanywea pale pale tukalala.
Nilimuuliza mbona una mimba akaniambia eti ni yangu nikamwambia sio kweli hiyo mimba ni kubwa na mimi tumeonana 2months ago.
Aliondoka hatukuonana tena hadi after 7yrs.
Yule aliyempa mimba hakumuoa ila hadi leo analipa ni mzuri tu yaani.
Ila ndio sitaki makombo mie.
Kwani wao ndio wanapima?!Inasemekana wanaotoa majibu ya DNA ni ustawi wa jamii,je ni kweli?
Si aondoke sasa.Unapigwa kama ngoma, hamna mjanja wa mapenzi kila mtu ana mjanja wake [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Shughuli inaanza unakopenda wewe 100% mwenzio anapenda 40%...Nje kuna mtu ndio anampenda by 100% ila ananyooshwa freshi tu.
Kosa kwa mujibu wa sheria ipi kwa mfano?! Kosa ni kumla mtoto chini ya miaka 18, mtoto wako wa kumzaa au mtoto wa ndugu yako wa damu yaani blood relatives, au ndugu yako wa tumbo moja,au ambaye mnashare baba au mama.Kumla mtoto (wewe sio baba yake mzazi) wa mwanamke unayeishi nae mwenye umri zaidi ya 18 kama 28 hivi , ni kosa au sio kosa? Maoni yako tafadhali
Kosa kiaje kwahiyo ni halali mwanamke Kulala na mwanaume huko alipotoka halafu ujauzito kukubambikia wewe?!Kimaadili ni kosa kwani haitofautiani sana na kumla mama mkwe.
Na Kuna mtoto anakua na kadi tatu za kilinik na Zina wababa tofautiUnataka nikutajie jina? Wacha ubishi kuna watu tunawafahamu Wana maambukizi ya HIV na wameoana na wasiokuwa na maambukizi baada ya kufanya yao na mtu wa maabara.
That 1
2 kuna day tulikua somewhere kidogo na jamaa zangu tunapooza mwili na [emoji3047] sehemu moja hivi
Yule muhudumu alikua katembelewa na mdogo wake mdada mweupe hivi
Kwa wanaonifahamu me nna utani utani sana....hivyo nlikua nkimtania yule dada kua nmempenda...na kumsifia kwingiii sana...na jamaa zangu pemben wanakazia wanamuita shem shem kama kweli yan...
Mda uliposogea tukainuka tukasepa kila mtu kwao...
Mida ya saa2 nkaona sms namba ngeni..kumuuliza wew nani ananambiya yuke dada mweupe wa mchana
Kwakua kwangu ilikua utani nkawa nshasahau
Baadae nakuj kukumbuka..nkamjibu tukaendelea na salamu na kadhalika
Kaniuliza upo wap nkamjibu getto...akajibu nakuja
Na nalal hapo hapo
[emoji15][emoji15][emoji15]
Haaah hili embe dodo lakujiokotea tena vipi
Si nkajua utani
Kaniuliza nakaa wap nkamwambia ni maeneo fulani
Akajib pow..nkaendelea kucheza zangu game nkijua n masikhara labda
Nmefika nipo hapa nkajibu wap tena...akataja pale nlipomwambia nkasema hi mbon balaa
Nkafungua mlango kidogo kutoa jicho nakuta kasimam kwenye ukuta wa anabonya bonya simu
Nkazama ndani nkafunga nkaendelea na game
Wiki moja mbele napata habari mkuu wa kituo cha police(ndio alikua anamlea) anamtafuta mwenye mimba
Dem kataja wadau kama 4 hivi
Wengine waliwatafuta aliokua anachart nao[emoji16]
Kwakua ngoma haikua inajulikana ni ya nani ikabid wasubil ajifungue
Mojo kumbe ya yule jamaa yangu bodaboda
Maana dogo alitoka na rangi moja kiwi nyeupe[emoji16][emoji16]