FOX21
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 493
- 916
Kuna mwalimu alikuwa anatufundisha book keeping, ndio akaniita "Mr. Lover lover. .!! " Minong'ono na vicheko vikatawala. Mwalimu wa nithamu aliingia na kuniuliza wewe ndio fulani?.
Yani kuitikia tu, na kuniamuru nikaigonge kengele ya shule mwenyewe. Hii siku ndio ilikuwa marayangu ya kwanza kuigusa kengele ya shule tangu nimeanza shule ya msingi hadi kuhitimu masomo yangu na sijawahi kuigusa tena.
Shule ilikusanyika sio wanafunzi tu hadi walimu wote walikuepo, muda sio mrefu madam nae namwona ndio anawasili getini. Hali niliyokuwa nayo ni mwenyezi mungu ndio anajuwa.
" Hapana asichapwe naomba kila mwanafunzi azingatie masomo, acheni kuwatesa wazazi wenu kwa kupoteza pesa nyingi kuwalipia ada, alafu kijana nifate ofisini ...
Haya maneno aliyazungumza mwalimu mkuu, alikuwa ni mzee mmoja msitarabu sana na alikuwa na kipaji cha kukusema kwa maneno hadi unatokwa chozi. Kufupisha tu mambo, shule nilisimamishwa wiki mbili alafu nikaagizwa kwenda na mzazi shule siku tajwa ilipofika na barua nilipewa siku hiyo hiyo.
Licha ya yote madam alinipoza maumivu🔞. Mzazi sikumpa barua ila huu msala ndio ulipelekea nikahama shule hiyo na kwenda shule ya mama #@ alikuwa waziri enzi hizo na kuacha hiyo tabia jumla. Msala wa hivi omba usikukute ukiwa mwanafunzi na nilikuja kugundua academic alikuwa nae anafukuzia mali safi.
Yani kuitikia tu, na kuniamuru nikaigonge kengele ya shule mwenyewe. Hii siku ndio ilikuwa marayangu ya kwanza kuigusa kengele ya shule tangu nimeanza shule ya msingi hadi kuhitimu masomo yangu na sijawahi kuigusa tena.
Shule ilikusanyika sio wanafunzi tu hadi walimu wote walikuepo, muda sio mrefu madam nae namwona ndio anawasili getini. Hali niliyokuwa nayo ni mwenyezi mungu ndio anajuwa.
" Hapana asichapwe naomba kila mwanafunzi azingatie masomo, acheni kuwatesa wazazi wenu kwa kupoteza pesa nyingi kuwalipia ada, alafu kijana nifate ofisini ...
Haya maneno aliyazungumza mwalimu mkuu, alikuwa ni mzee mmoja msitarabu sana na alikuwa na kipaji cha kukusema kwa maneno hadi unatokwa chozi. Kufupisha tu mambo, shule nilisimamishwa wiki mbili alafu nikaagizwa kwenda na mzazi shule siku tajwa ilipofika na barua nilipewa siku hiyo hiyo.
Licha ya yote madam alinipoza maumivu🔞. Mzazi sikumpa barua ila huu msala ndio ulipelekea nikahama shule hiyo na kwenda shule ya mama #@ alikuwa waziri enzi hizo na kuacha hiyo tabia jumla. Msala wa hivi omba usikukute ukiwa mwanafunzi na nilikuja kugundua academic alikuwa nae anafukuzia mali safi.