No reforms no electionUlichukua hatua gani?
Nini kilifanyika hata ukaona, kwamba hiyo show ni mbovu na hujwahi kukutana nayo tangu uyajue mapenzi?
Muafaka ulikuaje sasa baada ya show hiyo mbovu na ya kiwango cha chini sana ya kimapenzi?
nani alikua kikwazo na mzigo kwenye show hiyo mbovu kati yenu?
Mungu Ibariki Tanzania
Kama huyu ni mbunge, wapiga kura wakoje???Hivi ubunge ulipataje pataje mkuu?
Huyu chawa pro max ni mbunge? Ndiye Kibajaji ama?😳Hivi ubunge ulipataje pataje mkuu?
Hahaha mama anatosha...non senseNilibubujikwa na machozi tu.
Mama ametufikia gentleman 😬😬
Sio mbunge huyo alikosa na akatapeliwa na mganga 500k kama anabisha asemeHuyu chawa pro max ni mbunge? Ndiye Kibajaji ama?😳
Huyu jamaa na Lukasi dah! Yaani wanampenda mama kuliko anavyojipenda yeye mwenyewe. Ajabu sana!Hahaha mama anatosha...non sense