Ulifanyaje baada ya kukutana na show mbovu?

Ulifanyaje baada ya kukutana na show mbovu?

Tuanze na yako ilikuwaje?
Hivi veggies kwann mnapenda kututafutia ban lakini??
 
Ulichukua hatua gani?
Nini kilifanyika hata ukaona, kwamba hiyo show ni mbovu na hujwahi kukutana nayo tangu uyajue mapenzi?
Muafaka ulikuaje sasa baada ya show hiyo mbovu na ya kiwango cha chini sana ya kimapenzi?

nani alikua kikwazo na mzigo kwenye show hiyo mbovu kati yenu? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Kichwani kwako kumejaa makande
 
Mkuu unayakosea heshima makande
jamaa linajitukana lenyewe, kama alivyo mtu mwenye afya ya akili ambae hujitendea vitu ambavyo vinamdhuru na kumuumiza yeye mwenye 🐒
 
Tuanze na yako ilikuwaje?
Hivi veggies kwann mnapenda kututafutia ban lakini??
sina uzoefu,
tushirikishe experience yako kama hutojali Lady, kwa faida ya wadau lakini 🐒
 
Back
Top Bottom