Ulifanyaje baada ya kukutana na show mbovu?

Ulifanyaje baada ya kukutana na show mbovu?

Muafaka mapenzi yaliendelea.
Mana maisha sio ngono tu na kukamiana! Halafu siku ya kwanza bwana huwa haiamui show ya mtu wanaume wengi siku ya kwanza wanakuaga na wenge hasa waliotoka jela 😅 na hamna kitu wanaume wanaumiaga kama wakishindwa kuwa kwenye kiwango siku ya kwanza ... mimi huwa nawaambiaga mm sio porn star usinimamie kwanza fanya mapenzi sio ngono.
 
Alafu mnataka maendeleo mtabaki kudumaaa akili
ili kupata maendeleo ni vizuri kufahamu na kuelewa mambo ya kijamii kikamilifu, ili hatimae ujitosheleze vyema kisiasa na kiuchmi

wenye muhemko na stress hujawa chuki kwenye mambo haya kwasababu kwisha habari yao huko chini, ni suruali tu inapepea kama bendera 🐒
 
Muafaka mapenzi yaliendelea.
Mana maisha sio ngono tu na kukamiana! Halafu siku ya kwanza bwana huwa haiamui show ya mtu wanaume wengi siku ya kwanza wanakuaga na wenge hasa waliotoka jela 😅 na hamna kitu wanaume wanaumiaga kama wakishindwa kuwa kwenye kiwango siku ya kwanza ... mimi huwa nawaambiaga mm sio porn star usinimamie kwanza fanya mapenzi sio ngono.
kumbe?
nimependa sana huo muafaka.

eehe,
siku yako ya kwanza ilikuaje kwa mfano my lady, huenda wadau wangependa kupata uzoefu wako?🐒
 
Kama huyu ni mbunge, wapiga kura wakoje???
hivi kwanini wenye matatizo ya nguvu za kijinsia huwa mnakua wakali hivyo kwenye mada hizi, na hamkosekani pia japo hamstahili?
si mkaombewe tu ndrugu zangu?:pedroP:
 
Ulichukua hatua gani?
Nini kilifanyika hata ukaona, kwamba hiyo show ni mbovu na hujwahi kukutana nayo tangu uyajue mapenzi?
Muafaka ulikuaje sasa baada ya show hiyo mbovu na ya kiwango cha chini sana ya kimapenzi?

nani alikua kikwazo na mzigo kwenye show hiyo mbovu kati yenu? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Tumekwambia ha,,tu,,,ta,,shi,,,li,,,ki,,, uchaguzi kama tume ya uchaguzi haitafanya mabadiliko ya sheria za uchaguzi
 
Tumekwambia ha,,tu,,,ta,,shi,,,li,,,ki,,, uchaguzi kama tume ya uchaguzi haitafanya mabadiliko ya sheria za uchaguzi
andika vizuri gentleman kwa faifa ya wadau,


halafu,
mbona unadalili za kua tayari umeshatapeliwa pesa na fikra, lakini pia umedhulumiwa uhuru na haki yako ya kupiga kura na kibaka wa siasa? :pedroP:
 
Basi huyu mtoa mada anataka ahitimishe kuwa CCM ina sera ya kuboresha mahusiano na kuleta shoo mzuri katika jamii, hivyo tusisikilize sera za no reform....

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
andika vizuri gentleman kwa faifa ya wadau,


halafu,
mbona unadalili za kua tayari umeshatapeliwa pesa na fikra, lakini pia umedhulumiwa uhuru na haki yako ya kupiga kura na kibaka wa siasa? :pedroP:
Gentleman ni
Faida☑️
Faifa❌
 
Back
Top Bottom