Ulifanyaje baada ya kukutana na show mbovu?

Tuanze na yako ilikuwaje?
Hivi veggies kwann mnapenda kututafutia ban lakini??
 
Kichwani kwako kumejaa makande
 
Mkuu unayakosea heshima makande
jamaa linajitukana lenyewe, kama alivyo mtu mwenye afya ya akili ambae hujitendea vitu ambavyo vinamdhuru na kumuumiza yeye mwenye πŸ’
 
Tuanze na yako ilikuwaje?
Hivi veggies kwann mnapenda kututafutia ban lakini??
sina uzoefu,
tushirikishe experience yako kama hutojali Lady, kwa faida ya wadau lakini πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…