princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
ili kupata maendeleo ni vizuri kufahamu na kuelewa mambo ya kijamii kikamilifu, ili hatimae ujitosheleze vyema kisiasa na kiuchmiAlafu mnataka maendeleo mtabaki kudumaaa akili
Nahisi........labda......Hapana, Kwani Mama Samia ameuza bandari?
kumbe?Muafaka mapenzi yaliendelea.
Mana maisha sio ngono tu na kukamiana! Halafu siku ya kwanza bwana huwa haiamui show ya mtu wanaume wengi siku ya kwanza wanakuaga na wenge hasa waliotoka jela 😅 na hamna kitu wanaume wanaumiaga kama wakishindwa kuwa kwenye kiwango siku ya kwanza ... mimi huwa nawaambiaga mm sio porn star usinimamie kwanza fanya mapenzi sio ngono.
Siku yangu ya kwanza kiaje?kumbe?
nimependa sana huo muafaka.
eehe,
siku yako ya kwanza ilikuaje kwa mfano my lady, huenda wadau wangependa kupata uzoefu wako?🐒
🤣🤣🤣🤣Yaan we kichwa chako nilishakishindwa aisee🙌kwa no reform no elections gentleman?
🤣🤣🤣Kwa kweli.... maana 🤦twende tu polepole tutaelewana taratibu gentleman, maana hakuna namna nyingine sasa
Huyu mtoa mada ni mbunge???Hivi ubunge ulipataje pataje mkuu?
Tumekwambia ha,,tu,,,ta,,shi,,,li,,,ki,,, uchaguzi kama tume ya uchaguzi haitafanya mabadiliko ya sheria za uchaguziUlichukua hatua gani?
Nini kilifanyika hata ukaona, kwamba hiyo show ni mbovu na hujwahi kukutana nayo tangu uyajue mapenzi?
Muafaka ulikuaje sasa baada ya show hiyo mbovu na ya kiwango cha chini sana ya kimapenzi?
nani alikua kikwazo na mzigo kwenye show hiyo mbovu kati yenu?
Mungu Ibariki Tanzania
andika vizuri gentleman kwa faifa ya wadau,Tumekwambia ha,,tu,,,ta,,shi,,,li,,,ki,,, uchaguzi kama tume ya uchaguzi haitafanya mabadiliko ya sheria za uchaguzi
Ndo IvoHuyu mtoa mada ni mbunge???
Gentleman niandika vizuri gentleman kwa faifa ya wadau,
halafu,
mbona unadalili za kua tayari umeshatapeliwa pesa na fikra, lakini pia umedhulumiwa uhuru na haki yako ya kupiga kura na kibaka wa siasa?
Mbunge ajaye huyo toka CCM. Anawaza ngono tu. Tunapeleka takataka nyingine bungeni kuungana na yule mgogo pamoja na yule meneja wake DiamondNdo akili zenu zimeishia hapo majizi ya ccm