Ulifanyaje kipindi huna hela, yaani maisha yamekupiga total knock out?

Ulifanyaje kipindi huna hela, yaani maisha yamekupiga total knock out?

sema niliomba kazi za takukuru ila naisi kigezo cha umri ndo kimenipiga knock out directly maana nagonga 30 mwaka huu

Usione aibu
Tatizo unaona aibu wataniangaliaje? Ndio maana unakufa hivi unajiona sababu ya kuona aibu, watanisema hivi na vile aisee aibu yako ndio umasikini wako

Sogea sehemu kuna kiwanda cha mbao hapo omba kazi ya kuranda mbao au kusafirisha Mizigo ya mbao kwenda site hata kwa kuzibeba kichwani
 
Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?

Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?
Kujichanganya na vibarua wa ujenzi, kujichanganya kwenye vilabu vya pombe za kienyeji kuna michongo ya kusogeza siku.

Nakumbuka nilibeba zege kwenye ujenzi wa sheli fulani, mmiliki baada ya kugundua nimeenda shule akanipa mchongo " fedenge" Fanya ibada toa sadaka....KIMBIA ZINAA ....utapata NEEMA itokayo juu.
 
Kujichanganya na vibarua wa ujenzi, kujichanganya kwenye vilabu vya pombe za kienyeji kuna michongo ya kusogeza siku.

Nakumbuka nilibeba zege kwenye ujenzi wa sheli fulani, mmiliki baada ya kugundua nimeenda shule akanipa mchongo " fedenge" Fanya ibada toa sadaka....KIMBIA ZINAA ....utapata NEEMA itokayo juu.
Ushauri huu ni mzuri, amina!
 
Ilikuwa noma ndugu yangu noma sana yani niliona nimefika end of the road. Mimi huwa sina fikra za kujiua ila laiti ningekuwa nazo ningejiua maana nilikuwa nna stress si za nchi hii.
Ilipita kama miaka 2 kuanza kurecover hapo hata kodi ishanishnda kanibeba jamaa fulani aisee.
Ulipata mishe gani sasa ika kutoa kwenye hicho kipindi mkuu ?! Tujue wengine tujue pa kuanzia
 
Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?

Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?
Na ile kazi yako ya ku bet nayo ilikuwa hailipi?
 
Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?

Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?
Kama niliweza kusurvive kwa kipindi kile bila kujiathiri ingawa kiafya niliathirika, basi mengine makubwa zaidi yakitokea sitashindwa kuvulia.

Yaani siku moja unaiona kama wiki, dadeki[emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom