Ulifanyaje kipindi huna hela, yaani maisha yamekupiga total knock out?

Ulifanyaje kipindi huna hela, yaani maisha yamekupiga total knock out?

NA UMRI UNAENDA LIFE HALISOMI...NILIJARIBU MISHE ZA KUBEBA ZEGE.........LAKINI SIKURUDI SIKU YA PILI MAANA NILIAMKA NUSU MFUU...............MISHE ZA NYANYA KUCHUMA ASEEEEEEEEE THEN UNALIWEKA KICHWANI UNAPELEKA KWENYE LORY ASEEEEEEEEEEEEEE KUMBE MAISHA YA KUSOMA /KALAMU NI TOFAUTI NA MAISHA YA KUTAFUTA
Bora wewe ulipewa nafasi hiyo ya kubeba.

Mimi nilienda kwenye kufyatua tofali.

Niliishia kupewa buku na kuambiwa kanywe chai.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana ningeharibu matofali yao kwa hekima ile jamaa aliamua kufanya vile.

Ningekuwa karibu tena na ile sehemu, kuna siku ningeenda kumuungisha kwenye tofali zake tena akiwepo huyo jamaa ili atambue kuwa NYAKATI NGUMU HUWA HAZIDUMU
 
NA UMRI UNAENDA LIFE HALISOMI...NILIJARIBU MISHE ZA KUBEBA ZEGE.........LAKINI SIKURUDI SIKU YA PILI MAANA NILIAMKA NUSU MFUU...............MISHE ZA NYANYA KUCHUMA ASEEEEEEEEE THEN UNALIWEKA KICHWANI UNAPELEKA KWENYE LORY ASEEEEEEEEEEEEEE KUMBE MAISHA YA KUSOMA /KALAMU NI TOFAUTI NA MAISHA YA KUTAFUTA
Jast lerax rife is to simpre
 
Bora wewe ulipewa nafasi hiyo ya kubeba.

Mimi nilienda kwenye kufyatua tofali.

Niliishia kupewa buku na kuambiwa kanywe chai.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana ningeharibu matofali yao kwa hekima ile jamaa aliamua kufanya vile.

Ningekuwa karibu tena na ile sehemu, kuna siku ningeenda kumuungisha kwenye tofali zake tena akiwepo huyo jamaa ili atambue kuwa NYAKATI NGUMU HUWA HAZIDUMU
sometimes ni vyema kutambua ulipotoka na kupitiaaaaa aseeee hongera auditor kwa kutambua ulipo pita
 
Bora wewe ulipewa nafasi hiyo ya kubeba.

Mimi nilienda kwenye kufyatua tofali.

Niliishia kupewa buku na kuambiwa kanywe chai.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana ningeharibu matofali yao kwa hekima ile jamaa aliamua kufanya vile.

Ningekuwa karibu tena na ile sehemu, kuna siku ningeenda kumuungisha kwenye tofali zake tena akiwepo huyo jamaa ili atambue kuwa NYAKATI NGUMU HUWA HAZIDUMU
mie kigezo urefu ndo walinichagua issue ni kujaza zile column aseeeeee kubeba zege almanusura nijinyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kujichanganya na vibarua wa ujenzi, kujichanganya kwenye vilabu vya pombe za kienyeji kuna michongo ya kusogeza siku.

Nakumbuka nilibeba zege kwenye ujenzi wa sheli fulani, mmiliki baada ya kugundua nimeenda shule akanipa mchongo " fedenge" Fanya ibada toa sadaka....KIMBIA ZINAA ....utapata NEEMA itokayo juu.
Zinaa ni adui mkubwa sana...zinaa anachelewesha baraka zako
 
Kujichanganya na vibarua wa ujenzi, kujichanganya kwenye vilabu vya pombe za kienyeji kuna michongo ya kusogeza siku.

Nakumbuka nilibeba zege kwenye ujenzi wa sheli fulani, mmiliki baada ya kugundua nimeenda shule akanipa mchongo " fedenge" Fanya ibada toa sadaka....KIMBIA ZINAA ....utapata NEEMA itokayo juu.
Ulikua mtu wa zinaa sana
 
Back
Top Bottom