WILLIAM KOMBA
Member
- Nov 8, 2023
- 6
- 7
🤣🤣🤣 Eeeh MUNGU weee tusaidie waja wakoHata kama safi osha tu nakazia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Eeeh MUNGU weee tusaidie waja wakoHata kama safi osha tu nakazia
Ukifika hatua hio usichague kaziAiseee sitaki kukumbuka nlikua na msela wangu huyo kikubwa tulikua hatuchagui kazi yyte tunapita nayo aiseee
Ndio hivyo wewe OSHA akija atakupoza🤣🤣🤣 Eeeh MUNGU weee tusaidie waja wako
Safi km ni poaPoa😒
Nyakati ngumu hazidumu mkuu.mie kigezo urefu ndo walinichagua issue ni kujaza zile column aseeeeee kubeba zege almanusuranijinyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkuu we tafuta vifaa vya kupandia mlima anza kuzunguka kwenye makampuni ya kupandisha watalii.Issue nipo Moshi, huku hakunaga hizo bolt bin uber, huku ni bajaj mostly na hata kisela kisela ni ngumu kugusa chombo cha mtu, unaweza kung'utwa mpaka usahau kuwa una njaaa.
Vitendo vya wife vilinifanya nizidi kumpenda mama angu MzazWana makusudi hawa!!!!
Kaka utaoga mara ngapi!?hapa ni kupotezeaaa tuu nyege zikija unaoga mwili unapoaa
HahahaaINAFIKIA HATUA UPO GHETO ,,,NJAA INAKUULIZA VIPI LEO TUNAKULA NINI NDUGU YANGU WA DAMU ? MAANA NAKUTEGEMEA WEWE YAAAAANI HAHAHAHA ASEEEEEEEEE
Mmh!! kingereza gani hichiJast lerax rife is to simpre
Watu wamevurugwa mbaya [emoji28][emoji28]Mmh!! kingereza gani hichi
Maisha siyo mstari myoofu na kama hauna uvumilivu, hekima na busara utajikuta unafanya mambo maovu ili mkono uende kinywani.NA UMRI UNAENDA LIFE HALISOMI...NILIJARIBU MISHE ZA KUBEBA ZEGE.........LAKINI SIKURUDI SIKU YA PILI MAANA NILIAMKA NUSU MFUU...............MISHE ZA NYANYA KUCHUMA ASEEEEEEEEE THEN UNALIWEKA KICHWANI UNAPELEKA KWENYE LORY ASEEEEEEEEEEEEEE KUMBE MAISHA YA KUSOMA /KALAMU NI TOFAUTI NA MAISHA YA KUTAFUTA
Mimi leo ndio nimejua wewe ni mwanaume na tena kwa kusema mwenyewe …kwa jina ,picha na baadhi ya michango yako nilikuwa najua ni mwanamke …kuna siku nilipanga nikuombe papuchi(jokes) 😂😂😂😂😂😂! Hakika jf usije kichwa kichwaNilishawahi kukwambia mimi ni mwanamke?
Maisha hayahitaji ubishooJichanganye maeneo kuna ujenzi kuna ishu za zege au kubeba matofari na wewe jiunge hapo
MANYEMA PALE SOKONI MZEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE AU WAPI ??? VIPI KUNA MISHE GANI HUKOO MANYEMA ????we Jamaa, hata mm niko Moshi. kweli mambo ni tyte na hamna namna lazima tuishi. ila njoo Manyema huku tujichanganye utakosa pesa lakini jioni una mazaga rundo ya msosi.