Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Sasa pesa huna, genye zinatoka wapi!!!Nilivyoishiwa pesa eti na wife genye zikaisha!!!🤔🤔🤔
Nikawa Sina pesa na gemu sipigi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa pesa huna, genye zinatoka wapi!!!Nilivyoishiwa pesa eti na wife genye zikaisha!!!🤔🤔🤔
Nikawa Sina pesa na gemu sipigi,
Nyie ni wakatili,hakuna time mwanaume anahitaji tendo kama wakati wa stresssSasa pesa huna, genye zinatoka wapi!!!
Hahaha,haya bhanaMARA MBILI ,KAKA
Weeeeh! Sasa nguvu mnatoa wapi 😳😳😳😳Nyie ni wakatili,hakuna time mwanaume anahitaji tendo kama wakati wa stresss
Humu hakuna wanawake ila imejaa mishoga inayojifanya ni wanawake nashangaa mtu unaenda pm kumtonga mtu usiyemjua kwa sura.atakwambia yeye na babe wake ni mwili mmoja, kwahiyo akishikwa babe ni sawa kashikwa yeye pia...
Mkuu zunguka viwandani utapata hela ya kula. Ila kubwa zaidi angalia kitu unachoweza kukifanya exceptionally.hatariiiiiiiiiiiiii
Mwanaume ana nguvu mda wote ili mladi amekula, unachotakiwa mwanamke ni kumkumbusha tu kwamba upo kwa ajili yake hata wakati huo mgumu,akikumbuka na stress zinagoma mda huo ,Sasa nyie mnakuwaga tatizo la pili kwenye tatizo la kwanza,Weeeeh! Sasa nguvu mnatoa wapi 😳😳😳😳
Umesomea nn level ganiAmakweliiiiii kusoma sio kazi, kazi ni kugeuza elimu ya degree yako kuwa kazi/pesa.
Sasa sie hamu tunatoa wapi wakati nyumbani hapaeleweki 🤷🤷🤷Mwanaume ana nguvu mda wote ili mladi amekula, unachotakiwa mwanamke ni kumkumbusha tu kwamba upo kwa ajili yake hata wakati huo mgumu,akikumbuka na stress zinagoma mda huo ,Sasa nyie mnakuwaga tatizo la pili kwenye tatizo la kwanza,
Tatizo langu la kwanza linazidi ninapogundua hata ambae namtegemea anifaliji amekuwa tatizo Tena,Sina pesa na show hunipi!hamna maana
. Relax, not Lerax...[emoji846]Lerax
...Yale Yale !...Ulipie kikali Cha Kukata na Kuchoma Mtu wa Mtu au Serikali ! Hapo ndi Utajua, Huiui !! [emoji1][emoji1]Ingia Pori kachome Mkaa kazi zipo nyingi
...[emoji1][emoji1][emoji1]...Asee hili ni parody yan mwanamke ubanwe mbupu
Msikilize mumeo,mfariji,akipata amani hamu atakutafutia, uki-ridhika na yeye akaridhika utaona anavopambana kutafuta pesa,Sasa sie hamu tunatoa wapi wakati nyumbani hapaeleweki 🤷🤷🤷
We kuweza!!Msikilize mumeo,mfariji,akipata amani hamu atakutafutia, uki-ridhika na yeye akaridhika utaona anavopambana kutafuta pesa,
Kwa mapenzi tu unaweza kumtuma mumeo akaibe na akaenda,
Mumeo akiishiwa punguza Kununa bila sababu, sisi tukiwa hatuna pesa na wewe unanuna ,game hutoi Huwa tunakimbia familia mnabaki kuwaita ITV kwa mahojiano
Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?
Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?