sema niliomba kazi za takukuru ila naisi kigezo cha umri ndo kimenipiga knock out directly maana nagonga 30 mwaka huu
Kujichanganya na vibarua wa ujenzi, kujichanganya kwenye vilabu vya pombe za kienyeji kuna michongo ya kusogeza siku.Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?
Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?
Nenda Kiborlony mtafute Albert....atakupa mchongo.Issue nipo Moshi, huku hakunaga hizo bolt bin uber, huku ni bajaj mostly na hata kisela kisela ni ngumu kugusa chombo cha mtu, unaweza kung'utwa mpaka usahau kuwa una njaaa.
Ushauri huu ni mzuri, amina!Kujichanganya na vibarua wa ujenzi, kujichanganya kwenye vilabu vya pombe za kienyeji kuna michongo ya kusogeza siku.
Nakumbuka nilibeba zege kwenye ujenzi wa sheli fulani, mmiliki baada ya kugundua nimeenda shule akanipa mchongo " fedenge" Fanya ibada toa sadaka....KIMBIA ZINAA ....utapata NEEMA itokayo juu.
Mungu atakuvushaWakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?
Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?
Ulipata mishe gani sasa ika kutoa kwenye hicho kipindi mkuu ?! Tujue wengine tujue pa kuanziaIlikuwa noma ndugu yangu noma sana yani niliona nimefika end of the road. Mimi huwa sina fikra za kujiua ila laiti ningekuwa nazo ningejiua maana nilikuwa nna stress si za nchi hii.
Ilipita kama miaka 2 kuanza kurecover hapo hata kodi ishanishnda kanibeba jamaa fulani aisee.
🤣🤣🤣🤣Ila we jamaaIssue nipo Moshi, huku hakunaga hizo bolt bin uber, huku ni bajaj mostly na hata kisela kisela ni ngumu kugusa chombo cha mtu, unaweza kung'utwa mpaka usahau kuwa una njaaa.
Wewe ni me au ke? watu wa humu hamueleweki.Na kubet ndo vile kina Chelsea tunawapa ushindi wanatukamata mbupu
Asee hili ni parody yan mwanamke ubanwe mbupuNa kubet ndo vile kina Chelsea tunawapa ushindi wanatukamata mbupu
hell no ni relax shubbaaamitLerax
Na ile kazi yako ya ku bet nayo ilikuwa hailipi?Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?
Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?
Mimi ni meWewe ni me au ke? watu wa humu hamueleweki.
Kama niliweza kusurvive kwa kipindi kile bila kujiathiri ingawa kiafya niliathirika, basi mengine makubwa zaidi yakitokea sitashindwa kuvulia.Wakuu embu tujuzeni ulipitiaje kipindi ukiwa huna hela maisha yamekupiga total knock out and huna kula kulala ya uhakika?
Mie nimejaribu mishe za udalali ila hailipi kabisaa na ni majanga bin vuuu. So how do / did you cope with this situation?
Asee hili ni parody yan mwanamke ubanwe mbupu