Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Wewe Ruttashobolwa na Kyanakyomuhaya ni ndugu (tribal lines)? Harafu mhe.Ruttashobolwa maana ya hili jina ni nini?
Langu ni kutokana na attitude za wa2 bt kwangu cna uhakika sana bac wakanipa hyo nickname nami nikaipokea km ilivyo.
Mkuu wangu mi nimezaliwa kwa ajili ya kuwapunguzia watu (hasa wanawake) maumivu hasa ya kichwa yanayosababishwa na mastress makazini na majumbani.
Wakisoma posts zangu na kunigongea like, maumivu yanapungua taratiibu!
Ningongee like kama huamini. Uzuri wa tiba yangu haina side effect na inaambatana na ukaguzi kwa mabinti...
wewe ni kauzu zaidi ya dagaaKwngu naamin mm nko so stable kwnye nnachokijua na kukiamin. Pia nko stable sana kwnye maamuz yang yan no body can change me nnapoamua ki2; negro inarepresent race yang (black person) so stable-negro n brand inayorepresent ma true attitude
wakuu,kwanza nikiri wazi kwamba jf siyo tu mtandao wa kupashana habari na kuongeza uwezo wa kujenga hoja kinzani lakini pia,ni moja kati ya sehemu inayonipa raha hata ninapokuwa na stress kutokana na shughuli za kila siku. Leo napenda tuchangie mada hii iliyonifanya nicheke baada ya kutathmini baadhi ya majina ambayo watu wanayatumia hapa jf mfano mbogo,popobawa,gandagumu,mtimkavu,mcameroon,kitimoto n.k binafsi nilipojibatiza jina la gandagumu ilikuwa ni kuendeleza kumbukumbu ya itikadi ya u-hardcore niliyokuwa nayo sekondari miaka mingi iliyopita.niliamini katika kujikaza na kupambana kuyafanya yale ambayo wengi wanashindwa kuanzia lifestyles,mtazamo,maamuzi,mahusiano na weledi...! |je,wewe ulifikiria nini ulipojibatiza jina unalolitumia hapa jf?
Nilikuwa mwizi[/QUOT
Ikawaje tena..?