Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
Mimi ni raia wa Tz, na kwa USA ni permanent resident. Kwa hio sishughuliki na embassy tena. Unaruhusiwa kukaa nje ya USA kwa muda mrefu tu, ila inabidi ufuate rules fulani za US immigration.
Oh ok ok mkuuChini ya 1 year kama permanent resident haina shida kabisa. Ila kama ni 2 years, kuna form unajaza tu na US immigration kwamba utakuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kama huo.
Unataka kufanya barter trade au al bata [emoji1658] trade!?Uwe unatuomba msaada siku nyingine ukikwama rejesho..mabaria hatuna hiyana.tunabadilishana tu product
Usa naishi San Diego california. Hio $5000 ilikuwa enzi hizo. Sasa hivi mshahara ni $15000 au zaidi kwa mwezi. Ni kazi ya travel rn. Mfano wake ni lini hii hapa chini: Au google, apply for travel RN san diego, california.. hii hapa inalipa $3360 kwa wiki. Taxes toa 10% hivi.
Travel Telemetry Nurse Jobs in San Diego, CA
Find Travel Telemetry Nurse jobs in San Diego, CA you'll love on Vivian Health.www.nursefly.com
Muda sana nikiwa chalii mdogo kabisa. Enzi hizo ilikuwa rahisi sababu ilikuwa kabla ya 9/11. Sasa hivi ni ngumu, ila naamini Biden atarahisisha mambo zaidi.Ulizamiaje huko Mkuu huku ukiwa huna cha kuanzia.
Liongo hili[emoji57]
Sawa sawa mkuu, maana kuna mtoto wa shangazi alikuwa ameolewa huko kaachika akarudi huku akakaa wee ( like five yrs) naona wanamkata jina hapo osterbayMimi ni raia wa Tz, na kwa USA ni permanent resident. Kwa hio sishughuliki na embassy tena. Unaruhusiwa kukaa nje ya USA kwa muda mrefu tu, ila inabidi ufuate rules fulani za US immigration.
Sio mbaya. Inazidi mbunge wa Tz. Cha muhinu ni mtu ukiwa huku unaishi simple life tu, ili uweze ku-save $$ za kutosha.Yaan mkuu ushanichanganya kabisa na huu ushuhuda
Mbona umeenda mbali sana, wewe ambaye upo hapo ni kwenu mbona hukufungua hilo genge ama we sio graduate 🤣🤣🤣Ndiyo hivyo. Shida kubwa watu wengi wakienda shule kidogo anaona biashara za mtaani ni kama kushika uchafu. Kuna kijana mmoja mwalimu s/msingi wa kichaga alipanga chumba kwetu akaona fursa akafungua genge la mbogamboga hapo nje kalitengeneza kwa mabanzi tu ya kawaida. Saizi anauza laki 8 kwa siku. Tunataka kuanza kumtoza kodi lakini tunajishtukia kwa aibu, coz ni kasehemu ambacho wala hatukujua kuwa ni potential. Sasa mwambie graduate wa Mzumbe au Udsm afungue genge.
Nampa pole sana. Ukiolewa na US citizen unapewa uraia, lakini ndoa ikivunjika, unaweza poteza uraia pia. Sijajua situation yake. Ila pia kukaa sana nje ya USA, ni tatizo usipofuata sheria za US immigration.Sawa sawa mkuu, maana kuna mtoto wa shangazi alikuwa ameolewa huko kaachika akarudi huku akakaa wee ( like five yrs) naona wanamkata jina hapo osterbay
Aliupoteza uraia ndio, ila sasa alinyang'anywa watoto na huyo mlatino, ndo anataka arudi akalete battle hukoNampa pole sana. Ukiolewa na US citizen unapewa uraia, lakini ndoa ikivunjika, unaweza poteza uraia pia. Sijajua situation yake. Ila pia kukaa sana nje ya USA, ni tatizo usipofuata sheria za US immigration.
Yah, savings ni matokeo ya kuwa na excessive earnings. Huezi kuwa unapata elfu 5 ambayo haitoshi hata milo kwa siku kisha uniambie utasave...Unasave nini hapo?Ukiona mtu anasave hadi inafika kiasi hicho bila kuzila ina maana anazo za kuzila hio ni ziada. Vile vile sio kwamba Hana cha kufanyia, za kufanyia shughuli nyingine zipo zinafanya vitu hizo zinazowekwa ni ziada.
Mwingine kwenye mapato yake ya biashara anatenga kiasi fulani cha kodi ya pango la hio biashara na gharama nyingine zitakazojitokeza.
Ila nimekuelewa wengine kila hela ikipatikana inapata matumizi/kazi.
Mambo ya ndoa ni magumu sana sana hasa watoto wakiwepo. Kisheria, huwezi ondoka na watoto kama mwenza wako hajakubali. Kwa hio kama aliondoka bila ex wake kukubali, hapo ndio tatizo kubwa sababu inakuwa child kidnapping kwa USA hata kama ni watoto wako.Aliupoteza uraia ndio, ila sasa alinyang'anywa watoto na huyo mlatino, ndo anataka arudi akalete battle huko
Kila mtu ana akili yake katika kubuni miradi na ku realize profits. Ndio maana kwa 50M hio hio ukipewa wewe na mimi lazma mitego itatofautiana tu. Imagine mwenzio anapata laki1 kila siku ila wewe unapata laki 2M within 3 days. Tofauti ni kubwa sana.Haya mambo mara nyingine inawezekana kabisa mkuu.
Mie ni suppliers wa raw materials kiwanda fulani(japo siko peke yangu). Ila mzigo wa kujaza gari 1(pulling) unanigharim 1.2M. Mwenye kiwanda anatuma gari kwa gharama zake.
Ukifika kiwandani mie napata net profit sio chini ya 2M kwa gari 1. Na ni kazi ya siku 2 au 3 tu gari imejaa.
Asante ku-share na sisi ushuhuda huo mzito na unaotia huzuni sana.Aliupoteza uraia ndio, ila sasa alinyang'anywa watoto na huyo mlatino, ndo anataka arudi akalete battle huko
Hio ni supermarket sio gengeAisee genge kuuza 800,000/- per day si mchezo!
Hii biashara ina hela ila ni risky, siku ikiletwa mali ya Contawa ukakutwa nayo wewe basi umeisha.Nimewahi sana na nikihisi tu ni cha wizi huwa nina team yangu ya manunuzi (sinunui mimi)
nawatonya wanakuja,nawapa hela wananunua kisha wanasepa,muuzaji hatojua kama n mimi
nimenunua na team yangu ya manunuzi haikai mtaa niliopo hao wanakuja kwa case maalum tu
Hapana. Ni kwamba siko tayari kuweka 45m ili nipate 100,000/- kwa siku.
Kila mtu ana akili yake katika kubuni miradi na ku realize profits. Ndio maana kwa 50M hio hio ukipewa wewe na mimi lazma mitego itatofautiana tu. Imagine mwenzio anapata laki1 kila siku ila wewe unapata laki 2M within 3 days. Tofauti ni kubwa sana.