Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?


Yaan mkuu ushanichanganya kabisa na huu ushuhuda
 
Mimi ni raia wa Tz, na kwa USA ni permanent resident. Kwa hio sishughuliki na embassy tena. Unaruhusiwa kukaa nje ya USA kwa muda mrefu tu, ila inabidi ufuate rules fulani za US immigration.
Sawa sawa mkuu, maana kuna mtoto wa shangazi alikuwa ameolewa huko kaachika akarudi huku akakaa wee ( like five yrs) naona wanamkata jina hapo osterbay
 
Mbona umeenda mbali sana, wewe ambaye upo hapo ni kwenu mbona hukufungua hilo genge ama we sio graduate 🤣🤣🤣
 
Sawa sawa mkuu, maana kuna mtoto wa shangazi alikuwa ameolewa huko kaachika akarudi huku akakaa wee ( like five yrs) naona wanamkata jina hapo osterbay
Nampa pole sana. Ukiolewa na US citizen unapewa uraia, lakini ndoa ikivunjika, unaweza poteza uraia pia. Sijajua situation yake. Ila pia kukaa sana nje ya USA, ni tatizo usipofuata sheria za US immigration.
 
Nampa pole sana. Ukiolewa na US citizen unapewa uraia, lakini ndoa ikivunjika, unaweza poteza uraia pia. Sijajua situation yake. Ila pia kukaa sana nje ya USA, ni tatizo usipofuata sheria za US immigration.
Aliupoteza uraia ndio, ila sasa alinyang'anywa watoto na huyo mlatino, ndo anataka arudi akalete battle huko
 
Yah, savings ni matokeo ya kuwa na excessive earnings. Huezi kuwa unapata elfu 5 ambayo haitoshi hata milo kwa siku kisha uniambie utasave...Unasave nini hapo?

Tofauti na mtu ambaye anapata maybe 15K per day. Atakula 7K kisha 7K ingine anai save. Inawezekana kabisa. Kitu kimenishinda ni kujitesa na njaa ati kisa na save. Mi huwa nakubaliana na hali halisi tu sina kipato cha ku save natulia na kubuni mbinu tu nitapataje zaidi.

Raha ya ku save uwe na excess cash.
 
Aliupoteza uraia ndio, ila sasa alinyang'anywa watoto na huyo mlatino, ndo anataka arudi akalete battle huko
Mambo ya ndoa ni magumu sana sana hasa watoto wakiwepo. Kisheria, huwezi ondoka na watoto kama mwenza wako hajakubali. Kwa hio kama aliondoka bila ex wake kukubali, hapo ndio tatizo kubwa sababu inakuwa child kidnapping kwa USA hata kama ni watoto wako.
Nampa pole na kumtia nguvu asikate tamaa. Kila kitu kinawezekana. Japo itachukua nguvu nyingi na muda mwingi na resources nyingi sana.
 
Kila mtu ana akili yake katika kubuni miradi na ku realize profits. Ndio maana kwa 50M hio hio ukipewa wewe na mimi lazma mitego itatofautiana tu. Imagine mwenzio anapata laki1 kila siku ila wewe unapata laki 2M within 3 days. Tofauti ni kubwa sana.
 
Hii biashara ina hela ila ni risky, siku ikiletwa mali ya Contawa ukakutwa nayo wewe basi umeisha.
 
Kila mtu ana akili yake katika kubuni miradi na ku realize profits. Ndio maana kwa 50M hio hio ukipewa wewe na mimi lazma mitego itatofautiana tu. Imagine mwenzio anapata laki1 kila siku ila wewe unapata laki 2M within 3 days. Tofauti ni kubwa sana.

Mkuu alisema 2M yaan 2 million si laki mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…