Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
- Thread starter
- #21
Mkuu Ben Zen Tarot ulipotelea wapi jamaa yangu au unatumia ID nyingine tofauti Na hii😎☺️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa..lisemwalo lipo kama halipo...........Hakuna uchawi!
Wengi mnaoamini uchawi ni wagonjwa wa akili tu.
Si kweli!Sawa..lisemwalo lipo kama halipo...........
Kibobori,Acha tu, kila ukipita watu wanasikia harufu ya yai lililooza! Ukiingia kwenye daladala kila mtu anashika pua! Wachawi shikamooni!
Mimi sibishani mkuu, Ila naongea kitu nilichokishuhudia mwenyewe, Mimi ni hustle natembea sehemu nyingi Tanzania hii kutafuta liziki, kwa hiyo najifunza mambo mengi sanaSi kweli!
Kuna mengi tu yasemwayo yaliyo ya uongo.
Sijaamanisha hivyo mkuu😀😀Acha tu, kila ukipita watu wanasikia harufu ya yai lililooza! Ukiingia kwenye daladala kila mtu anashika pua! Wachawi shikamooni!
Mkuu kwani mchawi Huwa anatoka mbali?...ni katika wale unaoishi nao Na muda mwingine unawaamini Na kuwapendaMpaka anachukua nguo yako unayoipenda na kuirudisha, wewe unakuwa wapi??
Km unahisi hivyo kunywa mkojo wako wa asubuhi ila usiwe wa pombe.
Ugumu wa maisha, huzaa husda , wivu Na chuki kwa mwenye nacho mwisho wa siku mtu hudumbukia kwenye uchawiMbona waafrika wote ni wachawi kwa mkatadha huo
Pole sana, fanya hivyo nilivyokwambia. Mkojo unatoa uchawi wote.Mkuu kwani mchawi Huwa anatoka mbali?...ni katika wale unaoishi nao Na muda mwingine unawaamini Na kuwapenda
Huwezi kuwa na ugumu wa maisha husda chuki pasipo kuwa kuzaliwa na vinasaba vya uchawi.Ugumu wa maisha, huzaa husda , wivu Na chuki kwa mwenye nacho mwisho wa siku mtu hudumbukia kwenye uchawi
Yawezekana japo Mimi siwezi kuthibisha hilo....japo natambua waafrika wengi ni masikini Na ndio wanaongoza kwa ushirikina wa kuharibianaHuwezi kuwa na ugumu wa maisha husda chuki pasipo kuwa kuzaliwa na vinasaba vya uchawi.
Thus waafrika wote ni wachawi
Umasikini ni matokeo ya laanaYawezekana japo Mimi siwezi kuthibisha hilo....japo natambua waafrika wengi ni masikini Na ndio wanaongoza kwa ushirikina wa kuharibiana
Kwa hiyo Basi asilimia 60 ya waafrika Wana laana?Umasikini ni matokeo ya laana
Yupo mkoa gani? Toa connection, kama hujaamka vizuri, utalala vizuri leo.Mpaka kwa connection sana , kuna mmoja yupo huko kanda ya ziwa siku nikiamka Na mood nzuri nitawapa connection yake...
True,we huoni hawana macho ya kuona fursa tele kwenye mazingira yaoKwa hiyo Basi asilimia 60 ya waafrika Wana laana?
Ipo siku nitatoa tu wala usijari mkuu,Yupo mkoa gani? Toa connection, kama hujaamka vizuri, utalala vizuri leo.