Uliishawahi kuusikia uchawi au ushirikina huu?


Nikipinga uwepo wa Mungu nakua Mungu? Utaanza kuniabudu ๐Ÿ˜… Nyie waamini ushirikina ni empty set kabisa can't reason kabisa ndo maana mnaibiwa kiboya. Smh
 
Huyu ameamua kufurahisha genge achana nae...Mimi Niko serious hapa najaribu kufungua codes ili vijana wanaoteseka Na haya mambo Bila wao kufahamu washtuke Ila yeye analeta mambo ya kisengerema hapa..
 
Hata mimi nilipoenda Dar nilikuwa nashangaa kuna mdada mama ntilie,ikifika usiku alikuwa anaogea nje getini na ni kila siku,na kuna siku naingia bafuni asubuhi nikashangaa nakuta unga mweusi ndani ya kijibahasha na kimeandikwa ogea ndani ya siku 4,na hapo bado wale wa kuvunja nazi njia panda
 
Du. Hapana. Mimi ni ''bush star''. Nimezaliwa sehemu ambazo hata kuonekana kwa bundi kunaleta kitimtim.
Sasa inakuaje hujawahi kurogwa. We unazijua familia za kiswahili vizuri? Mtu ukila ugali na dagaa wa kukaanga watu wote wajue. Kuna husda huko za ajabu... ukiwa jobless grauduet kutok familia hizo unawez kujinyonga
 
Haya mambo yanavuruga na kupunguza nguvu kazi ya taifa
 
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Acha kabisa Mkuu haya mambo yapo sana, lakini kwa sababu ya Unafiki wetu huwa hatutaki kuyaandika.

None, but yourself can free your mind. Msiwekezeke sehemu ambazo hazina tija. Ushirikina unatudumuza sana waafrika sababu hautaki tufikirie zaidi ya hapa tulipo. Kila kitu tumerogwa
 
Sema hivyo vyote unaweza kuvitoa kwa powers zilizomo ndani yako. Mtu mpk anafikia kukuloga na mwili wako umekubali kulogeka unatakiwa utumie vitu vilivyomo ndani yako kujinasua.
 
Mi mpaka nishuhudie huo uchawi Kwa macho yangu vinginevo ni stori tu za abunuwas sina mda wa kuamini visivoonekana . Waafrika vichwani wamejaa mawazo ya kishirikana tu mara kwenda Kwa waganga , juzi mtoto wa miaka miwili albino kauwawa kwasababu ya mijitu iliyoamini uchawi๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜  Yani mtu unatoa makafara kibao na Bado huwapiti akina Elon musk na bil gates Kwa utajiri, shame on you. Sijawahi kuskia hadithi za kishirikina uko ulaya sijui mtu kapaa na ungo anawanga uchi. Uko ulaya stori za kusadikika labda ni zombie na ma vampire na aliens ila Africa ni uchawi wa kuruka na ungo na kuroga uchi usiku sasa unajiuliza ko huu uchawi upo Africa tu๐Ÿค” uko uzunguni ata sisikiagi mambo ayo ety mtuu kapandisha mashetani sijui katoa kafara.
 
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Wengi humu ni Wanafiki tu huo uchawi umeshaandikwa mpaka kwenye vitabu vitakatifu vya imani nashangaa humu mnajifanya Wanafiki, halafu unaweza ukakuta wengi wenu humu ni Washirikina wakubwa
 
Hiyo ndio afrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ