RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Basi mkuu wanifaa kabisaa.Wakinga tunasalimiana kwa mikono na magoti 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mkuu wanifaa kabisaa.Wakinga tunasalimiana kwa mikono na magoti 🤣🤣🤣🤣
Huyo Mwamba alitisha, itakuwa ameshafika PM za Wadada wote humu 😜Hivi kweli JF kunawatu wanatongozana?. Kuna kipindi nilikua nimeweka Profile picture ya Binti wa NIT aliepigwa risasi na mapolisi wa Magufuli, kuna jama mmoja mstarabu sana Kwa kumsoma akanifata PM anataka anitongoze nikamuambia Bro mie mwanaume hio picha tuu.😃
Kuvaa gauni la kitenge
Nitawapa location wee mama Fred Sanga[emoji3][emoji23][emoji2089][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bonyokwa nimehama jana, nipo gomz
Hewalaaa. Yaani ukisikia SHIKAMOOO Imeisha hiyoshikamoo zinakuwa nyingiii.. kila sehemu unaitwa blazaaaa
Siku uchukue za babu ngende ana miaka 82 sasa ila anakula wa 30 kuja chini ukichukua hela yake tu au ukaitikia salam au akakugusa . Utaipeleka mwenyewe na pichu umeacha kwako. Wee endelea tu na mitego hiyo. Chukua kama zangu shem wako si madharaNirudishe nimerogwa..??? Unantania ww.!!
Mkinga nirudishe pesa?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Noti zina picha ya Nyerere hazina picha ya mzee Tweve oooh!!
Huyo sio mstaarabu ni mshenzi wahedi, haogopi kutongoza avatar ya marehemu.??Hivi kweli JF kunawatu wanatongozana?. Kuna kipindi nilikua nimeweka Profile picture ya Binti wa NIT(Akwilina) aliepigwa risasi na mapolisi wa Magufuli, kuna jama mmoja mstarabu sana Kwa kumsoma akanifata PM anataka anitongoze nikamuambia Bro mie mwanaume hio picha tuu.😃
Njoo nikutoe kafara nitanue chumba cha biashara 🤣🤣🤣🤣Basi mkuu wanifaa kabisaa.
We koma kunipa watoto kabla ya umri wangu 🤣🤣🤣🤣Nitawapa location wee mama Fred Sanga[emoji3][emoji23][emoji2089]
Mkinga harogeki uchawi kwetu tunaogeshewa tukilia ng’aaah pindi tunaingia duniani upo??🤣Siku uchukue za babu ngende ana miaka 82 sasa ila anakula wa 30 kuja chini ukichukua hela yake tu au ukaitikia salam au akakugusa . Utaipeleka mwenyewe na pichu umeacha kwako. Wee endelea tu na mitego hiyo. Chukua kama zangu shem wako si madhara
Akha mi sitaki kukupa mtoto kazi ya Kantri hiyo. Ila nakujua . Ipo siku nitaweka wazi humu😂We koma kunipa watoto kabla ya umri wangu 🤣🤣🤣🤣
Umeanza kunywa nzela unaropoka sasa chochote kile…!!Akha mi sitaki kukupa mtoto kazi ya Kantri hiyo. Ila nakujua . Ipo siku nitaweka wazi humu😂