Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kipige pasi,chenyewe kinanyooka😅Kiuno nikinyanyuka kinauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipige pasi,chenyewe kinanyooka😅Kiuno nikinyanyuka kinauma
Wakinga tunasalimiana kwa mikono na magoti 🤣🤣🤣🤣Nawewe unaipa yanini😅
HakunagaKipige pasi,chenyewe kinanyooka😅
Basi salimia tu wenye nidhamu🤣Wakinga tunasalimiana kwa mikono na magoti 🤣🤣🤣🤣
Huyo huyo unayehisi mwenye nidhamu ndo baharia kumbe 🤣🤣🤣Basi salimia tu wenye nidhamu🤣
Basi niseme achimwene mabaharia wenye akili mbofu mbofu😁Huyo huyo unayehisi mwenye nidhamu ndo baharia kumbe 🤣🤣🤣
🙏🙏🙏 Wadogo zanguMimi pia nakupenda mnoo
Tatizo hujawahi kunitag madame.. yani Hadi nifukunyue mwenyewe Kila siku 🥲😃Wadongo zangu mnanikosha mjue
Sahv nishakuwa nyani mzee....nipo tu.
Kipindi hiko nilikuwa moto...sahv umri umeenda sana....miaka 13 nyuma si mchezo.
umetisha mkuu 😂Kitendo cha kua na hela mfukoni na bank lakini nawaza sina hela ilinionesha kua sasa si jana
Pole mdogo wangu.Tatizo hujawahi kunitag madame.. yani Hadi nifukunyue mwenyewe Kila siku 🥲😃
😃😃😃.. We me nitag tu, usiniambie unaonea aibu maandishi 😂😂Pole mdogo wangu.
Si unajua mie mdomo wangu huu...sa ingine naona aibu....🤭
Haya mpenzi usijali tuko pamoja😃😃😃.. We me nitag tu, usiniambie unaonea aibu maandishi 😂😂
Shikamoo zilivyoanza kuwa nyingi.Salaam Wakuu,
Uliona nini ukajua kuwa sasa umri wako umeenda?
Hapo sawa. Nimekuelewa 🤗🤗Haya mpenzi usijali tuko pamoja
AsanteHapo sawa. Nimekuelewa 🤗🤗
Hivi kweli JF kunawatu wanatongozana?. Kuna kipindi nilikua nimeweka Profile picture ya Binti wa NIT(Akwilina) aliepigwa risasi na mapolisi wa Magufuli, kuna jama mmoja mstarabu sana Kwa kumsoma akanifata PM anataka anitongoze nikamuambia Bro mie mwanaume hio picha tuu.😃Wanajimix vibaya 🤣🤣🤣
Kuna mmoja alikimbia walikutana tena na mtu wake wa mwanzo baada ya kila mmoja kutumia id nyingine kutongozana..!!
Wakajikuta wamekutana tena kwa mara ya pili zikiwa id tofauti NIWATAJE 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️