Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Njoo Dodoma,tuyajenge utazaa bila maumivu Tena kwa furaha huku nikiwa pembeni na maji ya moto na dodoki.Muone😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Dodoma,tuyajenge utazaa bila maumivu Tena kwa furaha huku nikiwa pembeni na maji ya moto na dodoki.Muone😂😂😂
Sijui hata wanatongozaje hao mabinti. Ila huku mtaani na ndevu zetu za mvi na uzee wetu bado tunawakimbia.Kama umeridhika nazo hamna shida.. Huogopi mabinti wakikukataa lakini😃
Mtego wako nimekwepa mita miaa😂😂..Njoo Dodoma,tuyajenge utazaa bila maumivu Tena kwa furaha huku nikiwa pembeni na maji ya moto na dodoki.
Safi sana.. Ndo inavyotakiwa hivyo ankoli😃Sijui hata wanatongozaje hao mabinti. Ila huku mtaani na ndevu zetu za mvi na uzee wetu bado tunawakimbia.
Usiukwepe sio mtego mi ni mtu mwema,sema mtoto nitafanana nae Mimi tuu!Mtego wako nimekwepa mita miaa😂😂..
Baba wa mtoto ninaye, ni Mimi tu kuamua lini nimlete ndo bado nasuasua😃Usiukwepe sio mtego mi ni mtu mwema,sema mtoto nitafanana nae Mimi tuu!
Mimi ungenikuta hata vidonge vya majira havifanyi kazi,ungeapata mimba tuu!,Unabahati kutoniona!Baba wa mtoto ninaye, ni Mimi tu kuamua lini nimlete ndo bado nasuasua😃
Oukay, Hongera sana aisee...Mimi ungenikuta hata vidonge vya majira havifanyi kazi,ungeapata mimba tuu!,Unabahati kutoniona!
Mzee be serious bas 😅Mtoto wa kike niliyemuacha mdogo sana,nilikuta mtoto wake amemaliza form 4.
Mzee umefanya nicheke wallah 😅😅Nyimbo za kina Migos na Lil Wyne nimeanza kuziona kama kelele
Baada ya kujua hiii imeeeenda🤣
Nawewe unaipa yanini😅Tena anajisifu anavyofanya uharibifu 🤣🤣🤣
Huyu ndio ile mizee ukiipa mkono kuisalimia inakutekenya 🤣