Kipige pasi,chenyewe kinanyookaπKiuno nikinyanyuka kinauma
Wakinga tunasalimiana kwa mikono na magoti π€£π€£π€£π€£Nawewe unaipa yaniniπ
HakunagaKipige pasi,chenyewe kinanyookaπ
Basi salimia tu wenye nidhamuπ€£Wakinga tunasalimiana kwa mikono na magoti π€£π€£π€£π€£
Huyo huyo unayehisi mwenye nidhamu ndo baharia kumbe π€£π€£π€£Basi salimia tu wenye nidhamuπ€£
Basi niseme achimwene mabaharia wenye akili mbofu mbofuπHuyo huyo unayehisi mwenye nidhamu ndo baharia kumbe π€£π€£π€£
Wadongo zangu mnanikosha mjueNimefungua njoo jirani yangu, ukiona umeboreka ww pitia nyuzi za Madame B lazima ucheke π€£π€£π€£
πππ Wadogo zanguMimi pia nakupenda mnoo
Tatizo hujawahi kunitag madame.. yani Hadi nifukunyue mwenyewe Kila siku π₯²πWadongo zangu mnanikosha mjue
Sahv nishakuwa nyani mzee....nipo tu.
Kipindi hiko nilikuwa moto...sahv umri umeenda sana....miaka 13 nyuma si mchezo.
umetisha mkuu πKitendo cha kua na hela mfukoni na bank lakini nawaza sina hela ilinionesha kua sasa si jana
Pole mdogo wangu.Tatizo hujawahi kunitag madame.. yani Hadi nifukunyue mwenyewe Kila siku π₯²π
πππ.. We me nitag tu, usiniambie unaonea aibu maandishi ππPole mdogo wangu.
Si unajua mie mdomo wangu huu...sa ingine naona aibu....π€
Haya mpenzi usijali tuko pamojaπππ.. We me nitag tu, usiniambie unaonea aibu maandishi ππ
Shikamoo zilivyoanza kuwa nyingi.Salaam Wakuu,
Uliona nini ukajua kuwa sasa umri wako umeenda?
Hapo sawa. Nimekuelewa π€π€Haya mpenzi usijali tuko pamoja
AsanteHapo sawa. Nimekuelewa π€π€
Hivi kweli JF kunawatu wanatongozana?. Kuna kipindi nilikua nimeweka Profile picture ya Binti wa NIT(Akwilina) aliepigwa risasi na mapolisi wa Magufuli, kuna jama mmoja mstarabu sana Kwa kumsoma akanifata PM anataka anitongoze nikamuambia Bro mie mwanaume hio picha tuu.πWanajimix vibaya π€£π€£π€£
Kuna mmoja alikimbia walikutana tena na mtu wake wa mwanzo baada ya kila mmoja kutumia id nyingine kutongozana..!!
Wakajikuta wamekutana tena kwa mara ya pili zikiwa id tofauti NIWATAJE ππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ