Ulijuaje kuwa umri wako umeenda?

Ulijuaje kuwa umri wako umeenda?

Nilipoanza kuhakikisha kila mchana iendayo kwa Mungu lazima ugali na fulu uwepo mezani.Vichwa vinne vyote vinaniangalia mimi tu.Majukumu yatakufanya ujue umekua hii line sijui ya mbongo fleva gani hii?
Hpngera Mkuu hapa kweli umekua mwanangu
 
Kwa heshima na taathima ya Beibi T tunaleta mahari kwa Ba mkubwa maana BeibiT huyu hapa amejinyosha ki partable mwenyewe😀😂
Angekuwa hana usingizi angekuandika through ID hii🏃‍♂️🏃‍♂️
Tayana-wog kwan umempa nini huyu.??
Mbona kachizika na ww mapema sana 🤣🤣🤣
Tunakoelekea tutaamka tutakuta kashusha uzi nakwambia, mahaba yashamlevya
 
Nilijiona nmekua baada ya
1:kutimiza miaka 35
2:Ongezeko la shikamoo
3:First born kutimiza miaka minane
4: Ongezeko la watu wanaonitegemea kifedha,ushauri
 
Back
Top Bottom