Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hpngera Mkuu hapa kweli umekua mwananguNilipoanza kuhakikisha kila mchana iendayo kwa Mungu lazima ugali na fulu uwepo mezani.Vichwa vinne vyote vinaniangalia mimi tu.Majukumu yatakufanya ujue umekua hii line sijui ya mbongo fleva gani hii?
Ahahahah😂😂😂.. unataka ukaongeze nini sasa😃Sikujua hadi siku uliponikataa. Lakini sasa nataka kwenda Uturuki nijikarabati nikirudi, mwenyewe utanitumia na hela ya kutolea
Kuondoa mviAhahahah😂😂😂.. unataka ukaongeze nini sasa😃
Haya sawa 😃😂Kuondoa mvi
Tayana-wog kwan umempa nini huyu.??Kwa heshima na taathima ya Beibi T tunaleta mahari kwa Ba mkubwa maana BeibiT huyu hapa amejinyosha ki partable mwenyewe😀😂
Angekuwa hana usingizi angekuandika through ID hii🏃♂️🏃♂️
😳🙄😅 MakubwaWalio karibu wakupokonye simu ww 🤣🤣🤣
Kumekucha kumekucha 🙄😳Tayana-wog kwan umempa nini huyu.??
Mbona kachizika na ww mapema sana 🤣🤣🤣
Tunakoelekea tutaamka tutakuta kashusha uzi nakwambia, mahaba yashamlevya
Safi bro, kazidi huyo. Shikilia hapo hapoForest Hill walikuwa na kazi .yaani pamoja na ku sponsor kikao. Umekula kama wa jumbe 😀😀😀😀😀😀
Bro pambania penzi lako, usikubali kuyumbishwaKwa heshima na taathima ya Beibi T tunaleta mahari kwa Ba mkubwa maana BeibiT huyu hapa amejinyosha ki partable mwenyewe😀😂
Angekuwa hana usingizi angekuandika through ID hii🏃♂️🏃♂️
Ila anakuchana ukweli, tuliaNdo alivyokupanga yule mentor wako?? 🤣🤣🤣
Mwambie familia tumewakataaaaaa!!!
Mpo km ruba hamjui kukataliwa eee?!!
Njoo mzambarauni hapa nipo na mwa J ☺🤣🤣🤣🤣 Bonyokwa nimehama jana, nipo gomz
🤣🤣🤣🤣 Haya shemeji niagizieni mbuzi nusu na ndiziNjoo mzambarauni hapa nipo na mwa J ☺
Kwendraaaa 🤣🤣🤣🤣Ila anakuchana ukweli, tulia