Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Mkuu hiyo ni kawaida sana mkuu kwa swala la mboga ni nzuri tu ukiwa unfreezer special kwa ajili hyo ila ni nzuri km utaifadhi km ni samaki au nyama uiweke viungo kabisa as long as wanazidi kukaa na viungo ndy vinazidi kukolea.
Khaaa mbona mnasema kawaida hv hili jambo ni serious kweli mbna kama nyie hampo seriously mkuu
 
Miaka kama 10 ilopita nikiwa ndo nimeanza kazi za benk na nipo customer service. Alikuja father mmoja ambaye alikuwa na kiasi kikubwa kwenye account ambacho aliniambia kilitokana na kuuza hisa zake.

sasa katika kupiga piga story za hapa na pale akanieleza kuwa hobby yake kubwa siku za weekend huwa ni kwenda kuendesha zile ndege ndogo ndogo.. Nikajua hapa huyu pesa ipo nyingi

Aliniachiaga na business card na sikuweza mtafuta tena
Hisa Ni investment nzurii ikiwa utawekeza in long run
 
Nishawahi kwenda kufuturu kwa marehemu mzee Zakaria(murzah)..parking tu ni zaidi ya 1b tshs,nyumba ndo usiseme..muda wote pesa zinaletwa kwenye makapu ya sokoni..mzee ana mtu wake maalum bank fulani wa kumuhudumia haondoki mpaka ruksa ya mzee,yule mzee alikua tajiri haswaaa..Rip mzee Zakaria
 
Nilikua naendesha gari ya mizigo nikapata kazi kupeleka mavyuma fulani hivi mbweni, sikwenda na mtu ila nilipewa namba ya simu nikaambiwa ukifika maeneo fulani piga simu kuna mtu atakufuata.

Mie huyoooo nilipofika eneo la tukio nikapiga simu full kufoka nimeshafika muda mrefu hapa, dk 0 ikaja V8 nyeusi tiiii. Ikaja kuni block kwa pembeni, jamaa akashusha kioo akasema nifuate.

Asee kila kona tunayokunja ni mijengo ya maana, mitaa mizuriii halafu pako kimyaaa, tukafika mpaka nje ya mjengo mmoja geti kuubwa, lile lango likafunguliwa kwa rimoti tukazama ndani.

Asee ile kuingia ndani nikawa nashangaa shangaa tu hata sielewi, lilikua bonge la jumba, swimming za maana halafu juu ya paa kuna parking ya helicopter, mataa ya barabarani yapo ndani.

Kuna jamaa nahisi aliona shauku yangu, akaniambia "zunguka zunguka uone nyumba ya rais wako ili uende ukasimulie na wenzio" nilizunguka kidogo tu ila maeneo mengi yalikua na makatazo kupita.(nyumba ilikua haijaisha ila ilikua inatisha aseee)

Nb; ninaposema rais, anaweza akawa wa tff, wa yanga au hata wa chuo.
Naskia Sir ๐Ÿ’ฏ ana nyumba mbweni
 
Back
Top Bottom