Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Kuna mtu alisema eti Bakhressa anaingiza zaidi ya billioni 2 kwa siku moja.Kanywe gahawa na mirungi akili ikukae sawa.
Nilishindwa kumzuia maana sina uhakika wa hoja za msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu alisema eti Bakhressa anaingiza zaidi ya billioni 2 kwa siku moja.Kanywe gahawa na mirungi akili ikukae sawa.
Mimi binafsi nikikuta mwanamke mwenye nyashi ya haja najua hapo hela ipoWakuu,
Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Biashara zake zinaweza siyo yeye.Kuna mtu alisema eti Bakhressa anaingiza zaidi ya billioni 2 kwa siku moja.
Nilishindwa kumzuia maana sina uhakika wa hoja za msingi
Hiyo ya kawaida hata langu mbona nmelijaza tuuFriji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
Nilipata connection sehem yenye maslah zaidi kupitia hyo hyo kampuni so sikuondoka kwa ubaya anytime namm naenda as a customer now and kuwapa hi washkaj na mabos wangu walinibless coz hata wao ni waajiliwa tu anytime fursa mpya ikitokea wanaweza sepa pia.Ilikuwaje ukaacha kazi kwenye hiyo kampuni
Umenikumbisha kisa Cha yule mchezaji anaitwa Kurt Zouma (sijui kama nimeamdika sawasawa)... Huyu jamaa alituhumiwa kumpiga Paka wake.... Wazungu walikuja juu mpaka jamaa akawa anakatwa mshahara wake.... Na akafunguliwa mashtka kwa kosa la kunyanyasa wanyama.... Ilivuma sana hii kesi pale England.....🤣🤣🤣Maisha hatufanani..kabisa nimekuja kuona tena kitu kama hicho kwa boss wangu mmoja mzungu nae anapaka wake nyumbani wanabudget kubwa kama laki 4 kwa mwezi isee mapaka manene hadi kutembea yanashindwa..
paka wananunuliwa hadi toy za kuchezea..
Jamaa akaniambia hawa paka waliokotwa kwenye jaa kwanza hawataki mazoea na rangi nyeusi kabisa wakiwaona wanaondoka na yule mzungu alivyo mweu anasema hataki wageni kwake wanawapa stress paka wake..
Nikacheka sana nikasema hao paka wanajua balaa la jua kali huko nje wamekubali kuwa machawa hapa maisha yaende..mzungu aamini hivyo anaamini wale paka wanapata msongo wa mawazo sababu sisi waafrica tuna watisha na kuwapiga ovyo bila sababu.
Mzee aliwekewa transformer yake ,coz umeme anaotumia home kwake ni zaidi ya mtaa mzimaNajaribu ku-imagine nyumba ya Reginald Mengi miaka ya early 90's (1990-1993) ilikuaje, na ilikuwa na facilities gani Dr am 4 real PhD Sky Eclat
Congratulations, ipo siku na mimi nitakuwa naamka kwenda ofisini narudi nyumbani jioniNilipata connection sehem yenye maslah zaidi kupitia hyo hyo kampuni so sikuondoka kwa ubaya anytime namm naenda as a customer now and kuwapa hi washkaj na mabos wangu walinibless coz hata wao ni waajiliwa tu anytime fursa mpya ikitokea wanaweza sepa pia.
Mkuu hiyo ni kawaida sana mkuu kwa swala la mboga ni nzuri tu ukiwa unfreezer special kwa ajili hyo ila ni nzuri km utaifadhi km ni samaki au nyama uiweke viungo kabisa as long as wanazidi kukaa na viungo ndy vinazidi kukolea.Friji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
Kutoka ndani ya uvungu wa moyo nakuombea mkuu kikubwa usichague kazi kamwe huwez kupata kazi kama hauna kazi humu humu kwny maofisi tunayoanza nayo ndiyo tunakutana na fursa mpya.Congratulations, ipo siku na mimi nitakuwa naamka kwenda ofisini narudi nyumbani jioni
Na kuna zingine ukizaliwa umekwisha😅😅Mzee wangu alitokea familia ya kimaskini Sana.
Babu alikuaga na ngo'mbe wengi Sanaa
Kimiujiza miujiza miaka ya 60's watoto wa Babu kwa miaka tofauti tofauti walikua wanafaulu darasa la saba na kuchaguliwa shule za SERIKALI
Walisomaga zamani na wakabahatika kupata kazi nzurii serikalini na wote wamekua watumishi mpaka Kustaafu kwao utumishi serikalini.
Kwenye tumbo la mama tupo wa 5 hakuna hata mtoto mmoja ambae Hana degree wa mwisho ndio kamaliza hapo Udsm mwaka huu
NB.
Kuna familia ukizaliwa unakua mwenye bahati na chance kubwa ya kuwa na option mbali mbali za kutimiza ndoto/goals E.t.c
Najua unachopitia,yatapita tu man.Congratulations, ipo siku na mimi nitakuwa naamka kwenda ofisini narudi nyumbani jioni
Kabisa ndugu yangu, ngoja tupambaneDaaah dodoma moja hyo mkuu...
Mkuu ajira ni kila kitu no matter what blood...
Tupambane tuu
Hizi circle zetu kwakweli tujitathminiMi sijawahi kwenda popote nikashangaa, ama kweli hii circle yangu inabidi niitathimini .
Apo chacha.Umenikumbusha Leo wakati natoka safari flani nchi jirani nklivyofika mitaa ya jiji la mwenye bunge nikaona jengo flani Zuri na jipya kwa juu inaonekana apartments ila nimekuwa disappointed kuona kamba zimeanika nguo tena karibu unit tano nikajiuliza hivi hawa awana drier
Daah chozi limenitoka hapa yani.Wewe ni mwenzangu na mie,inasikitisha snnilienda kwa rafiki yangu masaki nikakuta kila mtu amepewa milion 5 kwa ajili ya kufanya shoping ya sikukuu ya eid ilikuwa ni 2017 wkati huo mimi nimenunuliwa nguo za mtumba
Hahahaaaaa et jimboni! Tena ukute jimbo katoliki Tabora HahahaaaaaNikikuta library iliyoshehen na kupangiliwa kama ya jimboni najua hii dwelling kuna watu kamili.