Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wenzetu ni kiwaida ila huku labda ni issue...Huyo alikudanganya mkuu, kwanza EWURA hawawezi kutoa kibali na pia OSHA hawawezi wakatoa kibali cha kuweka fuel station kwenye makazi ya mtu.
Haya twambie kwa baresa uliona nini na ww ukajua hapa kuna hela....unashanga mil 5. baresa kila mwez pesa ya matumiz kila mtoto analamba m 500
Hakunaga tajiria anafanya ujinga wa aina hio 😂!Mmmh....!!! Huyo Bakheresa mwenyewe ana utajiri kiasi gani mpaka Kila mwezi awe anawapa watoto wake Kila mtu $200k za kwenda kutupa tu?
Na wewe kweli umeikubali kwamba Kila mwezi Bakheresa anampa Kila mtoto wake Tsh.500m za kwenda kuchezea tu?
Hao wakishua kweliEnzi hizo nipo form six tumetoka shule jumamosi kufanya test tukaenda nyumbani kwa rafiki yetu huyo..
Dah..tumefika tu tunakuta maagizo kwa house girl wao eti mama yake ameacha laki 100,000... jamaa akachukue chakula cha paka da nilishtuka sana.. nikamwambia jamaa yaani paka wenu hawa wanabudget nzuri hivyo kuliko watanzania wengi sana kweli maisha hatufanani.... akacheka tu.
Paka wenyewe wawili 2 nikiwaangalia kama wa mitaani tu..wamejilaza kwenye makochi
Hiyo ni mwaka 2014..
Kifupi jamaa hata chuo akwenda hakusubili matokea akasepa zake state hadi leo yupo huko alisoma chuo hukohuko ameoa hukohuko kifupi maisha kwenu yakiwa kwenye hali nzuri kuna uwezekana mkubwa sana watoto pia wakaishi maisha mazuri tu hata wakikuwa.
Yule jamaa napiga nae story hadi leo namkumbusha wale paka anasema walikufa.yeye anawaita na majina kabisa.
Duh! Yaani laki wanaitumia kununua chakula Cha majitu ambayo hayana maana yoyote kwa maisha ya binadamuEnzi hizo nipo form six tumetoka shule jumamosi kufanya test tukaenda nyumbani kwa rafiki yetu huyo..
Dah..tumefika tu tunakuta maagizo kwa house girl wao eti mama yake ameacha laki 100,000... jamaa akachukue chakula cha paka da nilishtuka sana.. nikamwambia jamaa yaani paka wenu hawa wanabudget nzuri hivyo kuliko watanzania wengi sana kweli maisha hatufanani.... akacheka tu.
Paka wenyewe wawili 2 nikiwaangalia kama wa mitaani tu..wamejilaza kwenye makochi
Hiyo ni mwaka 2014..
Kifupi jamaa hata chuo akwenda hakusubili matokea akasepa zake state hadi leo yupo huko alisoma chuo hukohuko ameoa hukohuko kifupi maisha kwenu yakiwa kwenye hali nzuri kuna uwezekana mkubwa sana watoto pia wakaishi maisha mazuri tu hata wakikuwa.
Yule jamaa napiga nae story hadi leo namkumbusha wale paka anasema walikufa.yeye anawaita na majina kabisa.
Mtatuua jamani wengine hatuna hata buku tunajiliwaza na stori za JF, hizi chai zingine mnatupunguziaunashanga mil 5. baresa kila mwez pesa ya matumiz kila mtoto analamba m 500
Daah huyo kweli TajiriKuna ofisi moja nilikuwa nafanya kazi miaka kma mitatu nyuma, nlikuwa cashier mm na mwenzng.
Akaja mteja mmoja wkt huo mm nilikuwa namuhudumia mteja mwengine mwenzng akampokea uyo jamaa, sasa jamaa bill yake ilikuwa inasoma milion mbili na jamaa alitoa card ya bank kulipia.
Kikichotokea mwnnzg akakosea kuandika zile digits baada yakuandika two milions jamaa akakosea akaandika milion mia mbili na akaprint na risit na akampa jamaa nae akaondoka wote bila kujua.
Mziki ukaja wkt wakufunga hesabu tukashangaa mbona mauzo yapo juu kuliko kawaida huku na huku ndiyo kugundua error ilofanyika huwez amini ilipita wiki nzima na jamaa hakushtuka kabisa uzuri kwny risit kuna option yakuandika namba ya mteja ndiyo anapigiwa anaambiwa yan hata yeye hana hbr wala kushtuka ikabidi kampuni imuombe samahan tu aje na jamaa alikuja kurud badae sna nkasema kuna watu wana mbumba aisee milion mia mbili inatolewa na bdo mtu hashtuki.
Wewe Ni jinsia gani mkuu?Miaka kama 10 ilopita nikiwa ndo nimeanza kazi za benk na nipo customer service. Alikuja father mmoja ambaye alikuwa na kiasi kikubwa kwenye account ambacho aliniambia kilitokana na kuuza hisa zake.
sasa katika kupiga piga story za hapa na pale akanieleza kuwa hobby yake kubwa siku za weekend huwa ni kwenda kuendesha zile ndege ndogo ndogo.. Nikajua hapa huyu pesa ipo nyingi
Aliniachiaga na business card na sikuweza mtafuta tena
vipi mmetoboa wangapi au wote mme hifadhi vyeti makabatini?Mzee wangu alitokea familia ya kimaskini Sana.
Babu alikuaga na ngo'mbe wengi Sanaa
Kimiujiza miujiza miaka ya 60's watoto wa Babu kwa miaka tofauti tofauti walikua wanafaulu darasa la saba na kuchaguliwa shule za SERIKALI
Walisomaga zamani na wakabahatika kupata kazi nzurii serikalini na wote wamekua watumishi mpaka Kustaafu kwao utumishi serikalini.
Kwenye tumbo la mama tupo wa 5 hakuna hata mtoto mmoja ambae Hana degree wa mwisho ndio kamaliza hapo Udsm mwaka huu
NB.
Kuna familia ukizaliwa unakua mwenye bahati na chance kubwa ya kuwa na option mbali mbali za kutimiza ndoto/goals E.t.c
Hata hiyo ofisi nilokuwa nafanya kazi most of the customers ni watu wenye status ndiyo wateja wakubwa tena wengi ni kutoka nje ya nchi na kama ni wateja wa ndani ya nchi basi ni watu mashuhuri na wakishua ningeitaja jina hakuna ambae haijui humu ila naweka kwny mabano humo ndyo nilipata connection ya watu mashuhuri ndani na nje ya nchi mpaka nikaacha kazi.Daah huyo kweli Tajiri
Wee jamaaa umefanya nipaliwe hapa...duh! Najaribu vuta picha huo mshangao uliopata kusikia paka budget laki.Enzi hizo nipo form six tumetoka shule jumamosi kufanya test tukaenda nyumbani kwa rafiki yetu huyo..
Dah..tumefika tu tunakuta maagizo kwa house girl wao eti mama yake ameacha laki 100,000... jamaa akachukue chakula cha paka da nilishtuka sana.. nikamwambia jamaa yaani paka wenu hawa wanabudget nzuri hivyo kuliko watanzania wengi sana kweli maisha hatufanani.... akacheka tu.
Paka wenyewe wawili 2 nikiwaangalia kama wa mitaani tu..wamejilaza kwenye makochi
Hiyo ni mwaka 2014..
Kifupi jamaa hata chuo akwenda hakusubili matokea akasepa zake state hadi leo yupo huko alisoma chuo hukohuko ameoa hukohuko kifupi maisha kwenu yakiwa kwenye hali nzuri kuna uwezekana mkubwa sana watoto pia wakaishi maisha mazuri tu hata wakikuwa.
Yule jamaa napiga nae story hadi leo namkumbusha wale paka anasema walikufa.yeye anawaita na majina kabisa.
Kanywe gahawa na mirungi akili ikukae sawa.unashanga mil 5. baresa kila mwez pesa ya matumiz kila mtoto analamba m 500
Hii ndio inaitwa show me ur parents and i will show u why u r successful in lifeMiaka ya 89's nyumbani tulikuaga na Tv, fridge, washing machine,choo Cha kukaa, nyumbani Kuna umeme, mashine ya kunyolewa, jiko la umeme , oven , pressure cooker N.K
Kumiliki ivyo vitu enzi izo yaani mnaonekana matajir wakubwa Sanaa 😊
Maisha yamebadilika Sanaa Sanaa sikuizi hivyo vitu sio big deal tenaa...
Ilikuwaje ukaacha kazi kwenye hiyo kampuniHata hiyo ofisi nilokuwa nafanya kazi most of the customers ni watu wenye status ndiyo wateja wakubwa tena wengi ni kutoka nje ya nchi na kama ni wateja wa ndani ya nchi basi ni watu mashuhuri na wakishua ningeitaja jina hakuna ambae haijui humu ila naweka kwny mabano humo ndyo nilipata connection ya watu mashuhuri ndani na nje ya nchi mpaka nikaacha kazi.