Yan mkuu watu wanatumia bajeti ya 400k kwa paka wakati mm mshahara wangu ni 280k🥺Mmeongea habar za paka kutumia laki hadi nmecheka
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma Bro alikuja home, hakuwa home kwa muda so akarudi na rafk ake sasa skuio wakapikiwa wali na samaki wakatengewa wali na samaki mkubwa uyoo sa ngap muda wa kunawa pale yule paka akarukia yule samaki akashuka nae mpka chini,
Aisee nlikua naskiaga paka anaroho saba ila sjajua labda skuio alitembea nayo moja ama vipi maana alipokea rungu moja ata sjui bro alitoa wapi rungu lile maana hazikuisha hata sec 30 toka bwana paka azingue na paka alikaa kmya hadi leo hii navyoongea ndugu waandxh wa habar