Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kuna watu hupata mafanikio na utajir then Wana fail kwenye kuwatengeneza watoto wao wanawadekeza mpaka wanawaharibu..Sijaelewa hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hupata mafanikio na utajir then Wana fail kwenye kuwatengeneza watoto wao wanawadekeza mpaka wanawaharibu..Sijaelewa hapo
Yan umejengea kamba za kuanikia nguo na zege kabisa inamaana umeridhika na umaskini huna plan nyingineHahaha, Kwangu zipo mkuu, nyuma ya nyumba, na milingoti ya chuma kabisa.
Ewaaah Asante na mifano ninayo it's a huge lossKuna watu hupata mafanikio na utajir then Wana fail kwenye kuwatengeneza watoto wao wanawadekeza mpaka wanawaharibu..
Heee... Ulinikuta wapi huko? 🙄
Pampu ya mafuta nyumbani hapo hata ujinga upo. Ukikosea kidogo tu kuzima sigara unaunguza mtaa mzima.Wakuu,
Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Unataka awe na plan za washing machine na dryning mashine.Yan umejengea kamba za kuanikia nguo na zege kabisa inamaana umeridhika na umaskini huna plan nyingine
Najaribu ku-imagine nyumba ya Reginald Mengi miaka ya early 90's (1990-1993) ilikuaje, na ilikuwa na facilities gani Dr am 4 real PhD Sky EclatSisi mpaka bomba la mvua yaan hiyo early 90's tunachagua touoge maji moto au baridi
Pia home kulikua na jackuz ndani yaan haya sio kwamba ni hekaya za abonuas / alfa ulela ulela.
Afadhali umecomment 🤗🤗 nilikumiss tu!Heee... Ulinikuta wapi huko? 🙄
Hakika mkuu.Ewaaah Asante na mifano ninayo it's a huge loss
Ndio mkuu, mlingoti chuma mirefu balaa. Nikirudi nimelewa namwambia dreva boda unaona ile milingoti imechomoza kulee, ifate.Yan umejengea kamba za kuanikia nguo na zege kabisa inamaana umeridhika na umaskini huna plan nyingine
Acha kutoka nje ya mada tafwadhwar😂Afadhali umecomment 🤗🤗 nilikumiss tu!
Mimi nilikuta shuka la Msd Kwa jamaa nilicheka sana nikamuuliza lilifikaje jamaa akaniambia tulia wewe hujui maisha. Msela Wala hakuwaza. Kuhusu kwamba kujua pesa ipo ama haipo siyo jukumu langu.Wakuu,
Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Nilikuwa natania tu dada angu usihofuAcha kutoka nje ya mada tafwadhwar😂
Hivyo tu mkuu?Friji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
Yan umejengea kamba za kuanikia nguo na zege kabisa inamaana umeridhika na umaskini huna plan nyingine
Ilo linajulikana😂😂😂..Nilikuwa natania tu dada angu usihofu
Kama ulaya na marekani kulikua mbali Sana in terms of infrastructure & technology.Najaribu ku-imagine nyumba ya Reginald Mengi miaka ya early 90's (1990-1993) ilikuaje, na ilikuwa na facilities gani Dr am 4 real PhD Sky Eclat
Kuna watu wamezaliwa wamekuta Mali na wameziendeleza so unakuta hawana ulimbukeni.Mwaka 2010 nilienda kwa rafk angu alikuag low key sana chuga hiyo kumbe ndani kuna swimming pool kama bwawa mixer vile viboti vya kwenye maji kama pikipiki artificial bwawa bonge moja la eneo