PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Biology sio? 🤣🤣(pedigree)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biology sio? 🤣🤣(pedigree)
Akikujibu nitag mkuu😂Mkuu mi na wewe tutamaliza baada ya jibu la dactar
Ushawahi jaribu?Huyo alikudanganya mkuu, kwanza EWURA hawawezi kutoa kibali na pia OSHA hawawezi wakatoa kibali cha kuweka fuel station kwenye makazi ya mtu.
Ndio huku nini ?Wakuu,
Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu
Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣
Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani
Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀
Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
EeehNilikua naendesha gari ya mizigo nikapata kazi kupeleka mavyuma fulani hivi mbweni, sikwenda na mtu ila nilipewa namba ya simu nikaambiwa ukifika maeneo fulani piga simu kuna mtu atakufuata.
Mie huyoooo nilipofika eneo la tukio nikapiga simu full kufoka nimeshafika muda mrefu hapa, dk 0 ikaja V8 nyeusi tiiii. Ikaja kuni block kwa pembeni, jamaa akashusha kioo akasema nifuate.
Asee kila kona tunayokunja ni mijengo ya maana, mitaa mizuriii halafu pako kimyaaa, tukafika mpaka nje ya mjengo mmoja geti kuubwa, lile lango likafunguliwa kwa rimoti tukazama ndani.
Asee ile kuingia ndani nikawa nashangaa shangaa tu hata sielewi, lilikua bonge la jumba, swimming za maana halafu juu ya paa kuna parking ya helicopter, mataa ya barabarani yapo ndani.
Kuna jamaa nahisi aliona shauku yangu, akaniambia "zunguka zunguka uone nyumba ya rais wako ili uende ukasimulie na wenzio" nilizunguka kidogo tu ila maeneo mengi yalikua na makatazo kupita.(nyumba ilikua haijaisha ila ilikua inatisha aseee)
Hahaha mmhunashanga mil 5. baresa kila mwez pesa ya matumiz kila mtoto analamba m 500
Hawawezi kutoa kwako mkuu lakini kwa nchi hii daa acha tuHuyo alikudanganya mkuu, kwanza EWURA hawawezi kutoa kibali na pia OSHA hawawezi wakatoa kibali cha kuweka fuel station kwenye makazi ya mtu.
Ghorofa ina floor ngapi?Goba apo nilienda Kwa Mdingi flani nikakuta lile Gorofa lake ana Sebule 3...kuna ya Wageni, Familia na nyingine yake na mkewe.
Na zote zimeshehen Furniture za maana
ALOO
Hupewi kibali kwa ajili ya familia yako, haiwezekani mkuu. Ila kama una shughuli za kibiashara zinazohitaji ulazima wa kuwa na pump yako unapewa.Hawawezi kutoa kwako mkuu lakini kwa nchi hii daa acha tu
Asante Sanaa.Hongera sana mkuu
Sijaelewa hapowalio dekeza watoto mwisho wameharibika.
Yana faida kadha wa kadha mkuu ILA YAWE MAZIWA HALISI YA MTINDI NATURAL I.e NG'OMBEDr am 4 real PhD
Dactar hivi kuna faida ya kunywa maziwa mtindi... Kwa faida ya wote tupe na madhara yake kabisa (sorry nje ya mada)
Kuna mtu hapa anapenda mambo ya jabu ajabu
Namaanisha wewe ERoni
Hahaha, Kwangu zipo mkuu, nyuma ya nyumba, na milingoti ya chuma kabisa.Mi nikikuta nyumbani kwako kuna kamba ya kuanikia nguo najua we ni njaa kali mwenzetu