Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Maisha hatufanani..kabisa nimekuja kuona tena kitu kama hicho kwa boss wangu mmoja mzungu nae anapaka wake nyumbani wanabudget kubwa kama laki 4 kwa mwezi isee mapaka manene hadi kutembea yanashindwa..

paka wananunuliwa hadi toy za kuchezea..
Jamaa akaniambia hawa paka waliokotwa kwenye jaa kwanza hawataki mazoea na rangi nyeusi kabisa wakiwaona wanaondoka na yule mzungu alivyo mweu anasema hataki wageni kwake wanawapa stress paka wake..
Nikacheka sana nikasema hao paka wanajua balaa la jua kali huko nje wamekubali kuwa machawa hapa maisha yaende..mzungu aamini hivyo anaamini wale paka wanapata msongo wa mawazo sababu sisi waafrica tuna watisha na kuwapiga ovyo bila sababu.
๐Ÿ™Œ Hao paka nao wanatumia nafasi yao vzr, hawataki mazoea na blacks ๐Ÿ˜‚
 
Mambo ya matajiri hayo, sisi home tulikua na paka ila hatukufikia hatua ya kuwapa majina.
Kazi yao ilikua ni kuweka usalama panya asitie maguu.

Msosi wake wa gharama ilikua ni maziwa fresh, mzee akiamka vizuri au akizaa anakua na oda yake ya maziwa.
Hiyo kawaida kabisa na ndio nimezoea hivyo sasa kukutana na paka wanaishi kama petty yaani urembo na wanagharamiwa juu nikashangaa sana.
 
sio kweli. sisi wenyewe mzee alikua anaenda zambia hio 80s ilikua colgate na ndara zile subutu ukutwe nazo na serikal .gari alinunua Niva kwa rafiki yake mzungu alikua kigoma UN ndio yule mzungu alikua anaruf kwao akamuuzia friji.heater pressure cooker.even us we had those things
Sisi mpaka bomba la mvua yaan hiyo early 90's tunachagua touoge maji moto au baridi

Pia home kulikua na jackuz ndani yaan haya sio kwamba ni hekaya za abonuas / alfa ulela ulela.
 
Acha kukandia chakula kitam sana hicho mkuu, hata leo nimekula ugali+samaki na glass ya mtindi mkuu!
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kuna siku niliwahi kusema kuwa we jamaa kwenye suala la hivo vitu upo radhi wakupige shaba aiseeeee...

Nilijua tuu ukiona hii comment lazima utaniungia daaah ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom