ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Gari tano zote za maana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaiii...Enzi hizo nipo form six tumetoka shule jumamosi kufanya test tukaenda nyumbani kwa rafiki yetu huyo..
Dah..tumefika tu tunakuta maagizo kwa house girl wao eti mama yake ameacha laki 100,000... jamaa akachukue chakula cha paka da nilishtuka sana.. nikamwambia jamaa yaani paka wenu hawa wanabudget nzuri hivyo kuliko watanzania wengi sana kweli maisha hatufanani.... akacheka tu.
Paka wenyewe wawili 2 nikiwaangalia kama wa mitaani tu..wamejilaza kwenye makochi
Hiyo ni mwaka 2014..
Kifupi jamaa hata chuo akwenda hakusubili matokea akasepa zake state hadi leo yupo huko alisoma chuo hukohuko ameoa hukohuko kifupi maisha kwenu yakiwa kwenye hali nzuri kuna uwezekana mkubwa sana watoto pia wakaishi maisha mazuri tu hata wakikuwa.
Yule jamaa napiga nae story hadi leo namkumbusha wale paka anasema walikufa.yeye anawaita na majina kabisa.
Sio powa mkuu unajua yogart ya kopo ww an mnakula mnavotaka...Poor brain 😂😂😂
Safi sana mbishiMwanaume inatakiwa usishtuke , chukulia kama ni simple tu...
Japo mi nikiona nyumba imefungwa AC, Electrical fence, swimingpool na Camera kila angle najua pesa iko...
hvyo vitu bado ni big deal hadi leo hii mzee uwezi ad leo kuna watu hawana hvyoMiaka ya 89's nyumbani tulikuaga na Tv, fridge, washing machine,choo Cha kukaa, nyumbani Kuna umeme, mashine ya kunyolewa, jiko la umeme , oven , pressure cooker N.K
Kumiliki ivyo vitu enzi izo yaani mnaonekana matajir wakubwa Sanaa 😊
Maisha yamebadilika Sanaa Sanaa sikuizi hivyo vitu sio big deal tenaa...
🤣🤣🤣🙌nilienda kwa rafiki yangu masaki nikakuta kila mtu amepewa milion 5 kwa ajili ya kufanya shoping ya sikukuu ya eid ilikuwa ni 2017 wkati huo mimi nimenunuliwa nguo za mtumba
Mzee wangu alitokea familia ya kimaskini Sana.Wee kumbe wa kishua...
Ndo mana ulikua una akili sana class
😂😂😂😂
Una safari ndefu sana rafiki yangu, siwezi kukukaribisha kwangu utakataa kuondoka ukiiona friji yangu 😂😂Friji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
Duuuh hiyo inaitwa luck bloodline.. (pedigree)...Mzee wangu alitokea familia ya kimaskini Sana.
Babu alikuaga na ngo'mbe wengi Sanaa
Kimiujiza miujiza miaka ya 60's watoto wa Babu kwa miaka tofauti tofauti walikua wanafaulu darasa la saba na kuchaguliwa shule za SERIKALI
Walisomaga zamani na wakabahatika kupata kazi nzurii serikalini na wote wamekua watumishi mpaka Kustaafu kwao utumishi serikalini.
Kwenye tumbo la mama tupo wa 5 hakuna hata mtoto mmoja ambae Hana degree wa mwisho ndio kamaliza hapo Udsm mwaka huu
NB.
Kuna familia ukizaliwa unakua mwenye bahati na chance kubwa ya kuwa na option mbali mbali za kutimiza ndoto/goals E.t.c
Mbona hata kwangu hayo mazaga yapo na sio mambo safi kiivyo?Friji limejaa ma yogurt, masamaki, manyama...
😂😂😂 Ukashangaa zaidi paka kua na majina kama watu.Yule jamaa napiga nae story hadi leo namkumbusha wale paka anasema walikufa.yeye anawaita na majina kabisa
Nawakilisha, nna siku 6 leo sijaoga na niko dar ...Safi sana mbishi
Sio Kama zamani Tv mnaibeba mnapeleka chumbani enzi izo Kuna wizi wa fatuma..hvyo vitu bado ni big deal hadi leo hii mzee uwezi ad leo kuna watu hawana hvyo
😂😂😂😂😂😂 Huna ujanja huo..Una safari ndefu sana rafiki yangu, siwezi kukukaribisha kwangu utakataa kuondoka ukiiona friji yangu 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 Daaah baba malcom...Nawakilisha, nna siku 6 leo sijaoga na niko dar ...
sio kweli. sisi wenyewe mzee alikua anaenda zambia hio 80s ilikua colgate na ndara zile subutu ukutwe nazo na serikal .gari alinunua Niva kwa rafiki yake mzungu alikua kigoma UN ndio yule mzungu alikua anaruf kwao akamuuzia friji.heater pressure cooker.even us we had those thingsMiaka ya 89's nyumbani tulikuaga na Tv, fridge, washing machine,choo Cha kukaa, nyumbani Kuna umeme, mashine ya kunyolewa, jiko la umeme , oven , pressure cooker N.K
Kumiliki ivyo vitu enzi izo yaani mnaonekana matajir wakubwa Sanaa 😊
Maisha yamebadilika Sanaa Sanaa sikuizi hivyo vitu sio big deal tenaa...