Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
π π π π DaaππMkuu kwa level niliyo nayo mie naweza kusema yes...
Kama wee hom pako hivo mkuu hongera sana umejipata aiseee
Huu uzi bila huyu mwamba haujakamilikaBring back BILL LUGANO (KIDUKU LILO).
Ahahahhha ewaaaah genetics hiyoBiology sio? π€£π€£
Yaaan kuhusu maziwa yaliyo chachaAkikujibu nitag mkuuπ
Wee dactar na wewe sasa unaanza kutetea upande wa jamaa..Yana faida kadha wa kadha mkuu ILA YAWE MAZIWA HALISI YA MTINDI NATURAL I.e NG'OMBE
Sio artificial MTINDI kwa uchache nimeelezea ππ
Mmmh kawaida..!!!Kawaida tu
Yaani jina hovyo sana hili..ππili jina la mkuu kalagha bao nongwa hadi mimi huwa linanichekesha sana
Najitafuta kwa hasira sana kdadake kwa haya masimango wee subr tuuEndelea kujitafuta, uko nyuma mno.
Yaaah sio haba an mi namjua huyo ana hatareee..Dr sio haba, namsomaga nasemaga hiiiiii
Weee kadwa ww muongo πππππHiyo ya kawaida hata langu mbona nmelijaza tuu
Khaaa mbona mnasema kawaida hv hili jambo ni serious kweli mbna kama nyie hampo seriously mkuuMkuu hiyo ni kawaida sana mkuu kwa swala la mboga ni nzuri tu ukiwa unfreezer special kwa ajili hyo ila ni nzuri km utaifadhi km ni samaki au nyama uiweke viungo kabisa as long as wanazidi kukaa na viungo ndy vinazidi kukolea.
Ahahahha mi na wewe wote zero kasoro wewe umenizidi maovuuuu kudadakUnamaanisha sisi wenye MADIVISHENI ZIRO tumelelewa na makapuku?
Ndio tena yupo humu humu maninaaaaUlienda kwenye jumba la mshangazi ndo ukakutana na hayo?
Hisa Ni investment nzurii ikiwa utawekeza in long runMiaka kama 10 ilopita nikiwa ndo nimeanza kazi za benk na nipo customer service. Alikuja father mmoja ambaye alikuwa na kiasi kikubwa kwenye account ambacho aliniambia kilitokana na kuuza hisa zake.
sasa katika kupiga piga story za hapa na pale akanieleza kuwa hobby yake kubwa siku za weekend huwa ni kwenda kuendesha zile ndege ndogo ndogo.. Nikajua hapa huyu pesa ipo nyingi
Aliniachiaga na business card na sikuweza mtafuta tena
Au ndo lile li EVELYN?Ndio tena yupo humu humu maninaaaa
Naskia Sir π― ana nyumba mbweniNilikua naendesha gari ya mizigo nikapata kazi kupeleka mavyuma fulani hivi mbweni, sikwenda na mtu ila nilipewa namba ya simu nikaambiwa ukifika maeneo fulani piga simu kuna mtu atakufuata.
Mie huyoooo nilipofika eneo la tukio nikapiga simu full kufoka nimeshafika muda mrefu hapa, dk 0 ikaja V8 nyeusi tiiii. Ikaja kuni block kwa pembeni, jamaa akashusha kioo akasema nifuate.
Asee kila kona tunayokunja ni mijengo ya maana, mitaa mizuriii halafu pako kimyaaa, tukafika mpaka nje ya mjengo mmoja geti kuubwa, lile lango likafunguliwa kwa rimoti tukazama ndani.
Asee ile kuingia ndani nikawa nashangaa shangaa tu hata sielewi, lilikua bonge la jumba, swimming za maana halafu juu ya paa kuna parking ya helicopter, mataa ya barabarani yapo ndani.
Kuna jamaa nahisi aliona shauku yangu, akaniambia "zunguka zunguka uone nyumba ya rais wako ili uende ukasimulie na wenzio" nilizunguka kidogo tu ila maeneo mengi yalikua na makatazo kupita.(nyumba ilikua haijaisha ila ilikua inatisha aseee)
Nb; ninaposema rais, anaweza akawa wa tff, wa yanga au hata wa chuo.