Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Wewe ni muongo
 
Khaaa mbona mnasema kawaida hv hili jambo ni serious kweli mbna kama nyie hampo seriously mkuu
Boss kuna vitu sio kwamba ni ushua ila ni life style ya kawaida ila ni hali zetu za maisha tu, unajua bongo hapa kuna watu wanaamin mtu hata kumiliki gari na mjengo tyr anaonekana don ila ni aina ya maisha ya wengi wanayopitia tu.
 
Nikikuta car park ina kiyyoyozi ndani
 
Tapeli huyo
 
Wewe chizi sijui umewaza nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…