Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

IMG-20241112-WA0001.jpg
 
vipi mmetoboa wangapi au wote mme hifadhi vyeti makabatini?
Wote tuna Maisha yetu Ila Sio Matajir tupo uchumi wa kati juu ikiwa na maana TUNAWEZA KUSAFIRI NA NDEGE (AEROPLANE ✈️)

Na mengineyo mengi mazuri mazuri

NB.
Sipo hapa kujimwambafy ama kujifanya superior being nipo kubadilishana MAARIFA na kujifunza.
 
Wote tuna Maisha yetu Ila Sio Matajir tupo uchumi wa kati juu ikiwa na maana TUNAWEZA KUSAFIRI NA NDEGE (AEROPLANE ✈️)

Na mengineyo mengi mazuri mazuri

NB.
Sipo hapa kujimwambafy ama kujifanya superior being nipo kubadilishana MAARIFA na kujifunza.
Hongereni sana mkuu kamwe msiache ibada
 
Wa kumshukuru ni mchina maana kama hali ingekuwa ile ile ya kumiliki JVC, SONY na Panasonic nafikiri kwa sasa bei ya TV ingekuwa ni sawa na bei ya magari mengi yaliopo barabarani😀
Balaa Sana mlangoni mnaweka ndoo za maji masufuria na sahani vikombe in case mwizi akijaribu kufungua mlango vipige kelele kuwa amsha.

Ndio ivyo HITACHI, PHILIPIS nao waka take over
Hakika mchina kafanya mapinduzi makubwa Sana kwenye Electronics appellant.
☺️☺️
 
Kuna ofisi moja nilikuwa nafanya kazi miaka kma mitatu nyuma, nlikuwa cashier mm na mwenzng.

Akaja mteja mmoja wkt huo mm nilikuwa namuhudumia mteja mwengine mwenzng akampokea uyo jamaa, sasa jamaa bill yake ilikuwa inasoma milion mbili na jamaa alitoa card ya bank kulipia.

Kikichotokea mwnnzg akakosea kuandika zile digits baada yakuandika two milions jamaa akakosea akaandika milion mia mbili na akaprint na risit na akampa jamaa nae akaondoka wote bila kujua.

Mziki ukaja wkt wakufunga hesabu tukashangaa mbona mauzo yapo juu kuliko kawaida huku na huku ndiyo kugundua error ilofanyika huwez amini ilipita wiki nzima na jamaa hakushtuka kabisa uzuri kwny risit kuna option yakuandika namba ya mteja ndiyo anapigiwa anaambiwa yan hata yeye hana hbr wala kushtuka ikabidi kampuni imuombe samahan tu aje na jamaa alikuja kurud badae sna nkasema kuna watu wana mbumba aisee milion mia mbili inatolewa na bdo mtu hashtuki.
Transaction ya 200M kwa kutumia kadi hapa Bongo??
 
Back
Top Bottom